Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kubali sasa we ni kilaza
😀😀😀😀 mbona munavotuletea pic za dar hamuombwi au link hamuombwi
Kawe city baby........coming soon
CGpGcyoU8AEQjnH.jpg
 
Waarabu wamempatia Magufuri magari ya kisasa yakuzoa uchafu jijini Dar es salaam na $150million kama msaada sio Mkopo. Magufuri kadai hizo pesa sitaenda mwenye barabara. Sisi wageni hawaji mikono mitupu kwa sasa
IMG_20170605_184802.jpg
IMG_20170605_190059.jpg
 
😀😀😀😀😀😀 na sasa tunahamia dodoma tushaanza kujenga ikulu, international airport na majengo ya government
so does it mean darislum na danganyika yote itasmama kwa kuwa munahamia dodoma?
hapa tuko na devolved gov't... if you know what i mean
 
so does it mean darislum na danganyika yote itasmama kwa kuwa munahamia dodoma?
hapa tuko na devolved gov't... if you know what i mean
Kila mkoa unajengwa kadri ya uwezo wa serekali na wawekezaji mfano ukiangalia zenj imebadilika within few years zote juhudi za serekali so kila mkoa uko under plan 😀😀😀😀😀😀
 
umeelewa lakini??? 92% of you munaishi kwenye izo nyumba za kusengenyana za kiswahili zisizo na dari

kutokana na uhaba wa ardhi,wakazi wengi wa nairobi hawamiliki nyumba zao binafsi.asilimia kubwa ni wapangaji walio-rent nyumba zinazomilikiwa na kikundi kidogo cha wakenya toka kabila la Kikuyu.that being said,i present to you a sample of random photos showing private houses owned by the common citizens of dar es salaam.
f012f5f1ce96a56aef84788675a2cf38.jpg
d11d8bd0b0fcbc7880f02cebcb284230.jpg
a03602ee8caddeb5bb177404ce93d088.jpg
36005ada62d0ba182f27d08e2712da77.jpg
7d0b81cdcf3d6e3298c6bc74d61618f0.jpg
675a7ed6e7881967d9e332766bb02a60.jpg
b729dcf71cd86833ed09000c15d68c8d.jpg
15eebab6ca97eeb138e2e7b621a5be5d.jpg
2a452241c6f580b29257afa905f87942.jpg
3f6083a5d717838c17ad2122b3d84bee.jpg
4939af976f0ce3f3c1d46407d77c029d.jpg
384816c3c521902c226ae6da88bf2596.jpg
06cb9b64383e00591bfcb2ebae89f2f1.jpg
de70cebd80dff310d410f4aef7810798.jpg
e45bd6d544865714d9634e5c0da5c65a.jpg
77538f4279eeae92c8e962057369b930.jpg
42eb4bfd4d303fa9478b3e7697f4f1b0.jpg
 
so does it mean darislum na danganyika yote itasmama kwa kuwa munahamia dodoma?
hapa tuko na devolved gov't... if you know what i mean
Can you compare Newyork to Washington? Dar es salaam wanataka waufanye mji wa biashara. Majengo yote ya serikali yatabomolewa nakujengwa office za kibiashara kama Newyork. Okay?? We are planning my friend. Nairobi mtabaki na mijengo ya wakoloni.
 
Back
Top Bottom