Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar es salaam jiji zuri
a1f68d18eaa148a5c7220031859e9a9d.jpg
afrika mashariki na kati
 

Attachments

  • wpid-img-20151007-wa0006.jpg
    wpid-img-20151007-wa0006.jpg
    44 KB · Views: 47
Kuna Mkenya nimeona akidai kuwa hizi villas 500 zinazojengwa Zanzibar ni dormitories. Sio kweli ni detouched house. Kila mtu anaishi kwenye nyumba yake. Hakuna mambo yakutumia geti moja. Kuibiana nguo. Kusengenyana.
Fumba Global Views 03.jpg
images-4.jpeg
FB_IMG_1497489402207.jpg
 
Hivi hapa ni Dar es salaam au Newyork?? Nisaidieni kwa sababu wakenya walidai hapo ni Kenya
FB_IMG_1497489359804.jpg
 
Kiwanda kipya kilicho funguliwa awamu ya Magufuri cha Touku Garments hiki nacho nikipya kutoka kwao nanichapili ukiachana Kule cha mwanzo. Viwanda vyote na vyoweka nivyaawamu ya Magufuri
FB_IMG_1497491556768.jpg
 

Attachments

  • FB_IMG_1497491596923.jpg
    FB_IMG_1497491596923.jpg
    27.5 KB · Views: 32
FB_IMG_1497488826804.jpg
FB_IMG_1497488810166.jpg
images-22.jpeg
Kiwanda kipya cha Twyford chakutengeza vigae au tiles. Kitatengeneza ajira za watu 2000 direct employment and indirect 3000. Kipo mwenye ujenzi kimejengwa awamu ya Magufuri.
 
Kiwanda cha Keds Tanzania Ltd watengenezaji wa Kleensoft detergent .Kiwanda kikubwa East and Central Africa cha kutengeneza sabun chapili baada ya cha Ghana. Kutengeneza direct employment 1500 na indirect 2500. Kiwanda cha awamu ya Magufuri. Tunaposema Tanzania ya viwanda wakenya waelewe. Magufuri Huyo just in two years.
8-1.jpeg
4.jpeg
DSC_6134.jpeg
8.jpeg
 

Attachments

  • 4.jpeg
    4.jpeg
    52.1 KB · Views: 38
  • DSC_6105.jpeg
    DSC_6105.jpeg
    7.3 KB · Views: 35
  • DSC_6134.jpeg
    DSC_6134.jpeg
    11.2 KB · Views: 39
Kiwanda cha Sayona T ltd. Nikiwanda chakutengeneza juice. Direct employment 3000 anajenga pia kiwanda cha Cement kitacho ajili watu 2500 pamoja na shule. Kitakuwa kiwanda cha kisasa with the best technology. Kinajengwa awamu ya Magufuri. Tanzania na serikali ya viwanda Magufuri hoyeee
DSC07523.jpeg
DSC07520.jpeg
DSC07554.jpeg
DSC07529.jpeg
DSC07523.jpeg
 
Kiwanda cha Elven Agry chakukausha matunda kwaajili ya solo la nne. Kutengeneza ajira 2000. Kimejengwa awamu ya Magufuri. Magufuri hoyee. Nani Mkenya alijidanganya uchumi wetu utategemea bomba la mafuta?? Tanzania na serikali ya viwanda ya Magufuri
DSC07589.jpeg
DSC07571.jpeg
DSC07571.jpeg
DSC07585-1.jpeg
DSC07565.jpeg
 
Back
Top Bottom