Sasa wenye hilo jengo huishi vipi na vibanda mbele ya jumba lao!!??
Ndinda you are a good photographer. Najua mbinu za kunogesha pics. Lakini wacha kubana tupe street full kama ilivyo hapa.
View attachment 1534851View attachment 1534853
Nairobi CBD barabara nyingi huwa hazina movement sana. Main street kama vile Uhuru na Kenyatta lakini zingine zimetulia hivyo tu.Hizi picha zinapigwa Weekends or During Holidays?
Mbona zipo empty ?
Subutu,Kama Dar ina CBD. Wacha watupe street kama hii.
View attachment 1534842View attachment 1534843View attachment 1534845View attachment 1534847
Mara above hudanganya.
Ndinda, mbna sioni picha kali kali za cbd dar, mi nakukubali sekta hyoHizi picha zinapigwa Weekends or During Holidays?
Mbona zipo empty ?
Nakwambia cbd dar ni upuuzi tu, barabara nyingi ni ushuzi sijui aliye plan ilkua ywafikiria nn haswa
dah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] The true Face. Hii Video na Ile Ya Upper hill tuzitunze vizuri for Reference.
View attachment 1532950
View attachment 1532951
View attachment 1532952
Utaua watu brathe[emoji23][emoji23]Nairobi CBD from different locations
View attachment 1534875View attachment 1534877View attachment 1534885View attachment 1534887View attachment 1534888
Ila imegundulika huwa hamuogi, DahKenya kupiga ngeli sio ajabu, kw sababu tangia chekechea lugha inayotumika sana ni kingereza..
Sasa wewe unaotakiwa kuwashangaa ni hao wadada wenu wa chuo, manake sasa ukiangalia mfumo wenu wa elimu english inakuja part2..kiufupi wao ndio wanashobo na kingenge
Endelea kujitekenya wew komobeb😂😂Umeanza kukimbia maandishi yako sasa[emoji23][emoji23]
Hapa hutoki, km ni kiswahili pia hunitatizi
Subutu,
Tulia wewe, mbna kuna watu hawapendi kuoga tu..hyo ni ishu personal
Kiukwel hawa jamaa wala hawa staili kuongelea mambo ya slums badala yake wakeme serikal yao iwasaidie kutoka katik hili shida.....the man was cry...Meanwhile at kibera baby mkenya yoyote atafute video ya jijini dar-es-salaam angalau inayokaribia haya mazingira Nampa $120 chap
Tatizo ndinda we unataka kuzuga tu, uliambiwa lete hivi wewe bado unavutia upande mwngine..[emoji23] Angalia hapo juu utaoana Dar CBD ilivyo nzuri.