Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwanza tuzungumzie "credibility" ya hii source yako. Hii inaendelea kusema kwamba " Nairobi is the largest city between Cairo and Johannesburg". Ni wazi kwamba hii imeandikwa na mkenya ili kuisifia Nairobi. Inasema population ya Nairobi ni 1.3M wakati ni zaidi ya 4M, hii inaonyesha iliandikwa 1980s. Tafadhali Kanusha hii source kwanza ndio tuweze kuwa na "meaningful discussion "

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Emporis - Wikipedia
Hii source si ya mkenya kindly research about it....alafu niambie jengo gani liko dar na bado halijatajwa apo
 
Emporis - Wikipedia
Hii source si ya mkenya kindly research about it....alafu niambie jengo gani liko dar na bado halijatajwa apo
Akuna cha kindly hapo huo niupupu ntupu....eti Dsm ina 2 plus millions of people ....kama kweli ww ungekuwa kindly hebu angalia hapa k/koo tu iko hivi unaweza tuambia iyo mia na 9 wamepataje...?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji116]
2407658_tapatalk_1588389991510.jpg
 
Talking of Upperhill Nairobi, apart from Sandton South Africa, there is no such Business District anywhere else in Africa.
IMG_20200721_160452.jpg
 
Hilo pori limewachwa hapo kimakusudi ili kuboresha mazingira ya Nairobi. Mtu akipatikana akikata miti anafungwa gerezani. Sisi tunajali mambo ya mazingira sio kama nyinyi mnakata miti hovyo halafu mnatukejeli kwa kukuza miti. Halafu nyie mkishafahamu kuwa mna majengo mbilikimo huwa mnaanza kulialia, mnaanza kusema eti hatuna social services. Tumewazoea
Acha kuongea upumbavu, kati ya Tanzania na Kenya ipi inayotunza mazingira? Ipi yenye miti mingi mijini?
 
Talking of Upperhill Nairobi, apart from Sandton South Africa, there is no such Business District anywhere else in Africa.
View attachment 1512848
You need help....like clinically. Have you ever been to Sandton au unaiona mtandaoni tu na kuleta domo lako hapa?? Because this is the upper hill that you can’t show us 😂😂
B75E68F2-E356-4593-BBE8-38F7DF522630.jpeg


Halafu in other news......naona Britam iko desperate kupata tenants kwenye Britam tower. This is what happens when you construct a building like that in a city whose real estate value is only $9 bn. You have a long way ahead of you kunyans.
6226DD8D-C476-4C5C-AD85-F7449387B348.jpeg
 
You need help....like clinically. Have you ever been to Sandton au unaiona mtandaoni tu na kuleta domo lako hapa?? Because this is the upper hill that you can’t show us [emoji23][emoji23]View attachment 1512900

Halafu in other news......naona Britam iko desperate kupata tenants kwenye Britam tower. This is what happens when you construct a building like that in a city whose real estate value is only $9 bn. You have a long way ahead of you kunyans.
View attachment 1512902

DOMO [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
 
You need help....like clinically. Have you ever been to Sandton au unaiona mtandaoni tu na kuleta domo lako hapa?? Because this is the upper hill that you can’t show us 😂😂View attachment 1512900

Halafu in other news......naona Britam iko desperate kupata tenants kwenye Britam tower. This is what happens when you construct a building like that in a city whose real estate value is only $9 bn. You have a long way ahead of you kunyans.
View attachment 1512902
mwaka wa nne kitu kinatafuta wapangaji! 😀 😀
 
Back
Top Bottom