Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,121
- 14,033
Hatuongelei jengo moja moja ila tunaongelea skyline kwa ujumla. Halafu hiyo Addis Ababa ikashindane na Kampala labda.Unaota wewe. Skyline ya Nairobi imeishinda Dar na wala hakuna ubishi hapo. The 3rd tallest and the 5th tallest buildings are in Nairobi. Soon another one called GTC will be commisioned. Yaani kati ya majengo nane ndefu Africa Kenya itakuwa na tatu mwishoni mwa mwaka huu. 1. Britam towers (200 metres). 2. Global Trade Centre (184 metres). 3. UAP building (163 metres).
Tanzania ina mbilikimo kadhaa. Tanzania ports Authority HQ (157 metres). PSF commercial towers A and B (152.7 metres)
Leta ligi kwenye maeneo mengine lakini sio kwenye skyscrappers. South Africa tu ndio imeishinda Kenya kwenye majengo marefu. Ingawa kuna jengo moja matata huko Ethiopia ya 198 metres ambayo itakamilika mwishoni mwa mwaka huu. Ethiopia inaweza kutupea ushindani kidogo lakini sio nyinyi na majengo yenu mbilikimo.





