Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tena ni uchumi na wala sio show off? Where do you stand? As for the economy, Kenya`s GDP is $100b while Tz is $62b, our budget is $30b while yours is $15b which 50% of it is funded by grants and donations. Hiyo mkataba wa Expressway mbona inawauma? Iwe mbovu or wise it`s ours, we don`t share it with Tanzania.
Show me that $100b GDP and show me that $30b budget.
 
Huyo ni omba omba wa mtz who happened to be suffering from that disease by the way. Ingekuwa huyo ni mkenya na mwenye alimsaidia ni mtz mngeshafungua thread by the way
Unawaskia wanavomkana ati ni mkenya tunataka kuwachafulia jina.. Watanzania hunichekesha sana na hizi akili zao, ujamaa imewatuma wawe disabled kiakili.....alafu huwa wanatuimbia hapa eti wakenya wanapitia shida kuwaliko ila wenzao hukimbia nchi yao kuja huku kuomba omba. imagine shida unaeza kua umepitia hadi ufikie hatua ya kuende nchi nyingine kuomba omba barabarani, so who's lying to who now
 
As if Tanzania is not borrowing from the IMF and/or world bank. Do you people think before spewing whatever half baked drivel you cooked up in your brain?

tunachukua mikopo kwa mambo muhimu... sio haya ya mambo ya corona na ishu za pregnant girls... yan eti unaruhusu watoto wapate mimba kisa kuna mkopo wa kuwasaidia?? hela ya kulima chakula chenyewe hamna mpk nacho mpewe msaada au muimport kutoka Tanzania
 
Misaada zaidi kwa budget ya failed state
Maskini kama nyinyi ndo hupewa misaada na grants sisi tunapewa loans kwa kuwa tunajiweza.....bajeti zenu za elimu na kilimo zimejaa misaada karibu nusu, huwa hamuoni aibu mnawasema mabeberu ila hao ndo lifeline yenu wakiondoka mnawekwa ICU??
 
Maskini kama nyinyi ndo hupewa misaada na grants sisi tunapewa loans kwa kuwa tunajiweza.....bajeti zenu za elimu na kilimo zimejaa misaada karibu nusu, huwa hamuoni aibu mnawasema mabeberu ila hao ndo lifeline yenu wakiondoka mnawekwa ICU??
Leta ushahidi tukipewa misaada ya kibajeti kama ninyi

Misaada ya chakula kwa failed state kama kawaida
Screenshot_20200707-190902~2.png
2445672_IMG_1593769675.688758.jpg
 
Unawaskia wanavomkana ati ni mkenya tunataka kuwachafulia jina.. Watanzania hunichekesha sana na hizi akili zao, ujamaa imewatuma wawe disabled kiakili.....alafu huwa wanatuimbia hapa eti wakenya wanapitia shida kuwaliko ila wenzao hukimbia nchi yao kuja huku kuomba omba. imagine shida unaeza kua umepitia hadi ufikie hatua ya kuende nchi nyingine kuomba omba barabarani, so who's lying to who now
Hahahaha u r lying to urself, yn mTz akimbie nchi hii aende kenya yn hujisikii ww mwenyewe kwmb unaongopa mchana kweupe, yn mtu atoke kusiko njaa akimbilie ukame, kenya mnaongoza kwa ukosefu wa ajira kuliko Tz, kenya kuna njaa, kenya kuna magonjwa ya kila aina zaidi ya Tz, kenya kuna slums everywhere, Kenya kuna ukabila ambapo Tz hamna, ni mTz gn atachagua kenya zaidi ya Tz labda awe mentally disabled hata ww mwnyw unajua hilo.
 
Tena ni uchumi na wala sio show off? Where do you stand? As for the economy, Kenya`s GDP is $100b while Tz is $62b, our budget is $30b while yours is $15b which 50% of it is funded by grants and donations. Hiyo mkataba wa Expressway mbona inawauma? Iwe mbovu or wise it`s ours, we don`t share it with Tanzania.
[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]

 
Hahahaha u r lying to urself, yn mTz akimbie nchi hii aende kenya yn hujisikii ww mwenyewe kwmb unaongopa mchana kweupe, yn mtu atoke kusiko njaa akimbilie ukame, kenya mnaongoza kwa ukosefu wa ajira kuliko Tz, kenya kuna njaa, kenya kuna magonjwa ya kila aina zaidi ya Tz, kenya kuna slums everywhere, Kenya kuna ukabila ambapo Tz hamna, ni mTz gn atachagua kenya zaidi ya Tz labda awe mentally disabled hata ww mwnyw unajua hilo.
Hahaaaa povuuuu.....waulize watanzania wenzako mbna wanakimbia nchi ya asali na maziwa kuomba omba nchi yenye shida
 
Maskini kama nyinyi ndo hupewa misaada na grants sisi tunapewa loans kwa kuwa tunajiweza.....bajeti zenu za elimu na kilimo zimejaa misaada karibu nusu, huwa hamuoni aibu mnawasema mabeberu ila hao ndo lifeline yenu wakiondoka mnawekwa ICU??
Hahahaaa Tz is not a poor country I know that you know, don't u?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom