Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wacha zielemee US ..shida iko wapi na ni Kenya sio Tz inafanya ivyo.
Cha maana ni eti sisi kama Wakenya tunajua ni wapi ndo tumefaidika na urafiki wetu na America na tunaomba uendelee

kwahio unakubali kuwa US ndo wanafaidika zaidi?🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️

watanzania someni afu mlete comments mseme ni nan anafaidika na hili deal!
IMG_1592987376.264577.jpg
IMG_1592987386.399365.jpg


link hii hapa
https://ustr.gov/sites/default/files/Summary_of_U.S.-Kenya_Negotiating_Objectives.pdf
 
Hahaha, vipi siku hizi mumeegemea China katika kukopa, biashara na uchumi?. Zaidi ya Wamarekani kuwatumia ili kupambana na Akshabaab, hamnufaiki na lolote zaidi, uhusiano wa Kenya na Marekani hauna tofauti yoyote na uhusiano wa Marekani na mataifa mengine ya Afrika
Ufanane au ukose kufanana sio shida ya Kenya. Cha maana ni eti Kenya inafaidika na uhusiano wake na Amerika na hatufanyi competition na inchi yeyote kwa hilo.

Mtakachoskizana na kufaidika kutoka kwa Amerika shida zenu izo.
 
kwahio unakubali kuwa US ndo wanafaidika zaidi?

watanzania someni afu mlete comments mseme ni nan anafaidika na hili deal!
View attachment 1487560View attachment 1487561

link hii hapa
https://ustr.gov/sites/default/files/Summary_of_U.S.-Kenya_Negotiating_Objectives.pdf
Hivi hua unasoma data za serikali ya ccm kwa umaana hivo kweli au ni kukesha mambo ya Kenya kama vibaraka wenzako wa ccm?
Ungekua ushaanza kuona ni wapi mlianza kugongwa na wizi serikalini ndo maana miradi haikamliki kila kona ya inchi.
 
Hivi hua unasoma data za serikali ya ccm kwa umaana hivo kweli au ni kukesha mambo ya Kenya kama vibaraka wenzako wa ccm?
Ungekua ushaanza kuona ni wapi mlianza kugongwa na wizi serikalini ndo maana miradi haikamliki kila kona ya inchi.
Onyesha ni mradi upi ulioishia njiani kama ilivyoishia njiani SGR na Lamu port kwa kukosa pesa.
 
Wamachinga na mama ntilie wanaharibu hii city kwa kweli,inabidi serikali iweke siasa pembeni katika hili..
ni kweli maana kila Kona wapo wao tu ni vubanda vibanda hadi sehemu nyingine wanaziba stand za daladala yaani hawapo kistaarabu kabisa na wanazidi kusogea tu kwa mfano pale mnazi mmoja mpaka akiba wameziba mazingira ya majengo yote ,,,,hii inakuwa si ustaarabu maana wakisema waendelee kuleta siasa kwa hili watajaa hadi CBD na wamachinga huwa hawapungui kadri miaka inavyosogea wanazidi tu watu wanazidi kujiajiri tu wakiwaendekeza inakuwa ni shida
 
ni kweli maana kila Kona wapo wao tu ni vubanda vibanda hadi sehemu nyingine wanaziba stand za daladala yaani hawapo kistaarabu kabisa na wanazidi kusogea tu kwa mfano pale mnazi mmoja mpaka akiba wameziba mazingira ya majengo yote ,,,,hii inakuwa si ustaarabu maana wakisema waendelee kuleta siasa kwa hili watajaa hadi CBD na wamachinga huwa hawapungui kadri miaka inavyosogea wanazidi tu watu wanazidi kujiajiri tu wakiwaendekeza inakuwa ni shida

JPM mjanja sana, unadhani kwanini anajenga masoko mapya kila pembe? Subiri uchaguzi uishe, atakuwa na kila sababu ya kuwatoa na wasilalamike.
 
Trade, defence (lamu base) & intellectual with many Kenyans working in top positions in the US.
Its also home to the first black American president
Home to UNEP and UN Habitat headquarters in the world, Africa headquarters to American Multinational s google, ibm..
Etc.. etc

Kenya is actually a very serious and important US ally and we benefit a lot from that.
A mutual relationship al call it.
Interms of $, the same way you mentioned kenya will get $3b I want to know for USA.

Because even Chinese they are building an expensive express way at $500m and in return they are getting $1b
 
Onyesha ni mradi upi ulioishia njiani kama ilivyoishia njiani SGR na Lamu port kwa kukosa pesa.
Kwa ujinga wewe nmekupea kitengo maalum. SGRr ya 170km bado hamjamaliza miaka 10. Hiyo unasema imekwama Kenya labda kichwani mwako. SGR Kenya imefika Suswa and its fully functioning 560km.. yani inafanya kazi.

Bagamoyo mlinyanganywa to our benefit na Struggling George siku mtamaliza uje untag apa...
 
Kwa ujinga wewe nmekupea kitengo maalum. SGRr ya 170km bado hamjamaliza miaka 10. Hiyo unasema imekwama Kenya labda kichwani mwako. SGR Kenya imefika Suswa and its fully functioning 560km.. yani inafanya kazi.

Bagamoyo mlinyanganywa to our benefit na Struggling George siku mtamaliza uje untag apa...
wivuuu
 
Back
Top Bottom