Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Which country btwn Ke n Tz has propaganda? eti kwa pesa za ndani, Kenya haitupendi inaangamiza uchumi wetu, hatuchukui madeni, yet it is increasing.., mumeshindwa kujituma ni kunyosha vidole tu
Wazee wa express highway , brt with lipstick , sgr with chang'aa machine . Yaani wanasiasa wa kenya wanatumia terminologies kuwa brainwash halafu mnakubali kirahisi . Wazee wa Chinese 1st class. Nadhaa hii ni side effect ya kula githeri kwa wingi
 
Wapi 13k hapo? Shuke mlienda kufanya nini lakini?
Mbona husomi vizur ..hio ni data ya 2017/2018 ..imeonesha 9752km of road ..on average Tz adds 500km of roads annually so figure it out 13k
 
Nyie mlipigwa karate kwenyu mka kimya mchina Kenya alifanywa nini baada ya hilo?
Utajua siku ukimkuta Mchina pale akiwa anaongoza...na Mkenya alivyo mnyonge kwa colonizers...ni Bakora tuuu...km ambavyo uwafanya.
 
Mbona husomi vizur ..hio ni data ya 2017/2018 ..imeonesha 9752km of road ..on average Tz adds 500km of roads annually so figure it out 13k
Show me anywhere that you add 500km of roads annually. Secondly where is it written that the screenshot you posted is 2017/2018?
 
Tena smooth, from Mombasa to Turkana to South Sudan seamlessly!, from Kisumu pia through Kakamega, Kitale all the way to Turkana perfect! Projects zile Kibaki alizindua zilikamilika., ndio maana gap inazidi kupanuka, Turkana has good roads pia county govt imejituma to some extend., mko chini ya Kenya kwa sasa na milele.
Infrastructure ipi unazungumzia....???sewage ama? Unaeza kueendesha kutoka katikati ya nchi mpaka Turkana kwa lami,?
 
Hatuwezi iba kitu inakaa kama kichinjio ama kiwanda cha kuchomelea vyuma industrial area eti station. Tz bado sana!
Tabia zako km amnazo...una argue km mtot..ww subir wenzako walibe km kawaida yenu na kwenda kutamb nalo nairaland ....
 
Nyie mlipigwa karate kwenyu mka kimya mchina Kenya alifanywa nini baada ya hilo?
Hakuna Mchina ndani ya Jamuhuri ya Muungano anaeza vunja sheria akaachwa...wale walevi waliotumia sime si uliskia..?Mchina akiwa hapa ni adabu...hakuna cha mdosi wala nini.
 
Show me anywhere that you add 500km of roads annually. Secondly where is it written that the screenshot you posted is 2017/2018?
Kuhusu addition inabid ufwatilie budget ya Tz kujua nikipata muda ntakutumia ..ila ndo hvyo we might even be getting to 15k this year cause of construction contracts signed last year to improve western circuit
Screenshot_20200609-001103.jpg
 
Still twice less than what Kenya has.
Yeah still some catch up to do...we are focused on various projects tho..tungekuwa hatuinvest sana Air Tz tungekuwa na cash flow kubwa kuweka hio sector
 
Sasa Kenya ndio ilinyamazia? mnafikiri hatua haikuchukuliwa?
Hakuna Mchina ndani ya Jamuhuri ya Muungano anaeza vunja sheria akaachwa...wale walevi waliotumia sime si uliskia..?Mchina akiwa hapa ni adabu...hakuna cha mdosi wala nini.
 
Remember Kenya has 20,000km of tarmaced roads compared to Tanzania`s 6000km. Turkana has high quality roads than Dar.
Ww ni mtu wa kuumbuka kila siku humu kwasabu hufanyi research, umekalia roho mby na denial style, ss mm wala cna haja ya kukuthibitishia kwamba tuko mbali kiasi gani kwenye km za paved roads, tusubiri report mpya ila usikimbie km ulivyokimbia bomba la mafuta la hoima
 
Back
Top Bottom