Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,111
- 10,547
Which country btwn Ke n Tz has propaganda?
eti kwa pesa za ndani, Kenya haitupendi inaangamiza uchumi wetu, hatuchukui madeni, yet it is increasing.., mumeshindwa kujituma ni kunyosha vidole tu 

eti kwa pesa za ndani, Kenya haitupendi inaangamiza uchumi wetu, hatuchukui madeni, yet it is increasing.., mumeshindwa kujituma ni kunyosha vidole tu 
Wazee wa express highway , brt with lipstick , sgr with chang'aa machine . Yaani wanasiasa wa kenya wanatumia terminologies kuwa brainwash halafu mnakubali kirahisi . Wazee wa Chinese 1st class. Nadhaa hii ni side effect ya kula githeri kwa wingi


