Remember Kenya has 20,000km of tarmaced roads compared to Tanzania`s 6000km. Turkana has high quality roads than Dar.Infrastructure ipi unazungumzia....???sewage ama? Unaeza kueendesha kutoka katikati ya nchi mpaka Turkana kwa lami,?
Uko sawa kabisa chief, Nafikiri nlichochanganya ni sentence, nachomaanisha hapa ni tulichokua tunapoteza kufikia 2B. So siizungumzii asilimia ya tulichokua tunakipata bali ya tulichokipata. Tukitumia over 61M ni asilimia kubwa sanaNi Percent ngapi kutoka 61M kwenda 2000M.
Hint;
50% ya 61M ni 30.5M pekee. Sasa kama unaongelea 2000M ni % ngapi nyingi sanaa
Sent from my SM-A520F using JamiiForums mobile app
According to who?Remember Kenya has 20,000km of tarmaced roads compared to Tanzania`s 6000km. Turkana has high quality roads than Dar.
Tumia akiliRemember Kenya has 20,000km of tarmaced roads compared to Tanzania`s 6000km. Turkana has high quality roads than Dar.
Baki na hyo 6k yako ...naon umejisahau hii ni 2020Remember Kenya has 20,000km of tarmaced roads compared to Tanzania`s 6000km. Turkana has high quality roads than Dar.
Busy posing for pictures
Be like ''nipigeBusy posing for pictures
nikiwa najifanya niko busy'' 
Yaani Turkana wanakokufa na njaa unafananisha na Dar . Huo zaidi ya uzalendoRemember Kenya has 20,000km of tarmaced roads compared to Tanzania`s 6000km. Turkana has high quality roads than Dar.
Dar ni vumbi tupuYaani Turkana wanakokufa na njaa unafananisha na Dar . Huo zaidi ya uzalendo
Juu nimeongea ukweli?Tumia akili
Quality and quantity are two different items. Ulienda shule gani wewe? Nimekuambia Tanzania has 6000km of paved roads.Baki na hyo 6k yako ...naon umejisahau hii ni 2020
Hizi ni data za WEF ...wote tuko sawa hapo 4.1..tusubir mbabe atajulikana tuView attachment 1472479View attachment 1472480
Wazee wa express highway , brt with lipstick , sgr with chang'aa machine . Yaani wanasiasa wa kenya wanatumia terminologies kuwa brainwash halafu mnakubali kirahisi . Wazee wa Chinese 1st class. Nadhaa hii ni side effect ya kula githeri kwa wingiDar ni vumbi tupu
Nugu kweli,,,Quality and quantity are two different items. Ulienda shule gani wewe? Nimekuambia Tanzania has 6000km of paved roads.
Anha naona umekubali quality ni sawa sasa twende paved ...paved tupo 13k-roughly hata 15k tunaweza kuwa tumefika..kubali ,kataa ,lia ,garagara ngata kucha..garagara .....we clocked 10k in 2018..tuna add kama 500km of paved roads annualy..so we might be around 12k to 13 ..kma unaamini sawa ..kama hauamino its non of my Business mm nakupa sourceQuality and quantity are two different items. Ulienda shule gani wewe? Nimekuambia Tanzania has 6000km of paved roads.
Kenya inakaribia morroco kwa GDP lakini sasa on the ground vitu ni mbingu na ardhi...kweli gdp ni mavi ya mbuzi
You are a Dick.Wazee wa express highway , brt with lipstick , sgr with chang'aa machine . Yaani wanasiasa wa kenya wanatumia terminologies kuwa brainwash halafu mnakubali kirahisi . Wazee wa Chinese 1st class. Nadhaa hii ni side effect ya kula githeri kwa wingi
Wapi 13k hapo? Shule mlienda kufanya nini lakini?Anha naona umekubali quality ni sawa sasa twende paved ...paved tupo 13k-roughly hata 15k tunaweza kuwa tumefika..kubali ,kataa ,lia ,garagara ngata kucha..garagara .....we clocked 10k in 2018..tuna add kama 500km of paved roads annualy..so we might be around 12k to 13 ..kma unaamini sawa ..kama hauamino its non of my Business mm nakupa source
Jumuuisha 8300+1500 hio 2017-2018 tanroads View attachment 1472500