ILISACHA
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 2,184
- 4,046
Hivi ni kampuni gani kongwe isiyokuwa na record za ajali zembe za madereva?
Sent using Jamii Forums mobile app
Zuberi
Hivi ni kampuni gani kongwe isiyokuwa na record za ajali zembe za madereva?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa inavyoonekana pale sijui kama dereva alipon labda aruke napo ni hatari pia.Ndio wanabeti kwa kupewa 100,000 kwa dereva anayewahi kufika pale Uyole au Msamvu au Magufuli. Hizi wapo madereva wa SAULI na Newforce. Kwa sisi tunaotumia barabara ya TANZAM, Hayo mabasi yalitakiwa yafungiwe muda na tumelalamika sana kuwa yachukuliwe hatua wenye mamlaka wananyamaza tu. Natamani leo dereva awe amekufa, kuwe na ndugu wa kiongozi yoyote wa nchi au awemo Polisi mmoja amayechukua rushwa ya 1000 kisha kufumbia macho huo upuuzi.
Kuna siku nilikuwa nasafiri na nipo kwenye V8 jamaa wakatupita wanakimbizana na hatukuweza wakutana hadi tumefika pale kwenye cheki point ya uhamiaji Makambako. Jamaa wanakimbiza hovyo, wana overtake hovyo n.k. Siku tulikutana na SAULI anashuka kitonga pale, aiseeeee.
Ila ajali isikie tu niliwahi shuhuda ajali ya Rungwe express DNN pale Iyovi kipindi hiko ziko mbichi dah noma sanaNdio wanabeti kwa kupewa 100,000 kwa dereva anayewahi kufika pale Uyole au Msamvu au Magufuli. Hizi wapo madereva wa SAULI na Newforce. Kwa sisi tunaotumia barabara ya TANZAM, Hayo mabasi yalitakiwa yafungiwe muda na tumelalamika sana kuwa yachukuliwe hatua wenye mamlaka wananyamaza tu. Natamani leo dereva awe amekufa, kuwe na ndugu wa kiongozi yoyote wa nchi au awemo Polisi mmoja amayechukua rushwa ya 1000 kisha kufumbia macho huo upuuzi.
Kuna siku nilikuwa nasafiri na nipo kwenye V8 jamaa wakatupita wanakimbizana na hatukuweza wakutana hadi tumefika pale kwenye cheki point ya uhamiaji Makambako. Jamaa wanakimbiza hovyo, wana overtake hovyo n.k. Siku tulikutana na SAULI anashuka kitonga pale, aiseeeee.
Ila kuna kipindi 2019 mbona alikua anaweka ligi na Sauli,Deer..Yule jamaa ukikimbiza gar huna kazi
lakin hua anamoja hiyo ya asubuhi ndo inaruusiw kukimbizana na BM pale Arusha na ni ile ya zaman plate no A
Aiseee inatisha hadi unaogopa, kama una roho nyepesi usiangalieWale mnaotaka kuona sinema ya tukio la ajali hii hapa [emoji1484] na kama una roho ya bata usiangalie!.
View attachment 2664723
fyddell Mr Spider EINSTEIN112 and others
SisuseniGolden deer na New force nadhani mmiliki wake ni shemeji ya mkubwa Fulani huko LATRA..
hizi Basi zinaenfeshwa rafu lkn hakuna RTO anayethubutu kuyakemea.
ma RTO Moro, Iringa, Mbeya, songe semeni ukweli, mmiliki hua anawaona Mara kwa Mara!
Tunaishi Maisha ya kila kitu kamali na michezo ya kubahatisha!!Naushuhuda mmoja Miaka mi 3 iliyopita
Kuna rafiki yang ni dereva wa bus kampuni X bus za safari ndefu Sasa weekend nilikua naenda nae Bukoba tukifika ushirombo ananiachia niendeshe nilichokua nainjoy ni kukimbizana na bus zingine tulizotoka nazo Arusha nilikua sifikirii
Hivi WaTz tuna utu kweli? Unaugusa mkono wa binadamu mwenzio kwa kiatu? Unajidai una masikitiko!video za ajali hivyo tufungue kwa tahadhali.View attachment 2664408
Kwanini usiedit au ndo msako wa attention,kwa kimombo mnaitwaga attention seekers.Hahahaaaa.....sawa mpwa....mshituko wa habari mbaya....😳😳😳😳
Overtake za kipuuzi ndio huwa zinawacostAbood wana madereva wengine wajinga sana hasa kwenye ku-overtake...wasipojiangalia watakuja kusababisha ajali...
Huyu aliovertake darajani kama kawaida yao alipoona mbele kuna R420 akaona hatoki bora ale taruma tu😀 kabla hakijaumana.
Siku nimekula NewForce tulipata kipengele Kitonga pale gari ilipasuka kioo cha site mirror tu hamna alieumia. Tukaendelea kibishi ila mwendo wa ni wa hatari sana.Kwenye Ile video nimeona mkono wa mtu ukiwa umechomoka kama mdoli...........
Mungu awatie nguvu majeruhi na awalaze pema waliopoteza ndugu zao......
Hawa watu wanakimbia utadhani wamebeba ng'ombe vile.......
Niliwahi kupanda New force naenda Tunduma nikashukia Ilula.....nilikuwa naona kabisa uhai wangu ukiwa rehani......nikasema pesa zinatafutwa....
Alilipwa 150MHuyo Linyama alilipwa ile mil 850 aliyowadai hiyo kampuni.