Basi lingine la Katarama lapata ajali muda huu Mikese

Basi lingine la Katarama lapata ajali muda huu Mikese

LICHADI

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2015
Posts
4,717
Reaction score
13,439
Jana nilileta uzi hapa kuhusu huyu bwana aachane na ligi baada ya siku nne nyuma gari lake moja kupata ajali mbaya Morogoro, juzi tu nikashauri arudi njia kuu madereva watamfilisi ila nikaonekana mchonganishi

Muda huu leo gari lingine limedondoka Mikese sasa hivi

--------------------

Taarifa zilizotufikia hivi punde, zinaeleza kuwa basi la Kampuni ya Mabasi ya Katarama, limepata ajali mchana wa leo, Aprili 25, 2026 katika eneo la Mikese mkoani Morogoro.


Chanzo: Global TV
 
Jamaa anavyotangaza mbona kishabiki sana utadhani anatangaza mechi wakati kuna uhai wa watu. Hii nchi ina ujinga mwingi sana
Upungufu wa akili is real, umasikini pia unachangia mtu kuwa na roho ngumu, hapo anashabikia sjui kafurahia katarama atafilisika, au nia ni madhumuni ni nini! Kwa ujinga huo yuko radhi arekodi mtu akikata roho kuliko aweke simu asaidie majeruhi, hao ndo wale wanamalizia majeruhi kwa kuwanyonga ili wawasearch vizuri kwenye suruali na mikoba yao wakijifanya mashuhuda na waokoaji! Nasemaje MAJALIWA atabaki kuwa mmoja tu hapa Tanzania
 
Jana nilileta uzi hapa kuhusu huyu bwana aachane na ligi baada ya siku nne nyuma gari lake moja kupata ajali mbaya Moro, juzi tu nikashauri arudi njia kuu madereva watamfilisi ila nikaonekana mchonganishi

Muda huu leo gari lingine limedondoka Mikese sasa hivi

--------------------

Taarifa zilizotufikia hivi punde, zinaeleza kuwa basi la Kampuni ya Mabasi ya Katarama, limepata ajali mchana wa leo, Aprili 25, 2026 katika eneo la Mikese mkoani Morogoro.

Chanzo: Global TV
Aangalie alikopotelea Sauli
 
Aisee!
Nimeona taarifa ya ajali muda huu nikalikumbuka angalizo lako la jana.
 
Jana nilileta uzi hapa kuhusu huyu bwana aachane na ligi baada ya siku nne nyuma gari lake moja kupata ajali mbaya Morogoro, juzi tu nikashauri arudi njia kuu madereva watamfilisi ila nikaonekana mchonganishi

Muda huu leo gari lingine limedondoka Mikese sasa hivi

--------------------

Taarifa zilizotufikia hivi punde, zinaeleza kuwa basi la Kampuni ya Mabasi ya Katarama, limepata ajali mchana wa leo, Aprili 25, 2026 katika eneo la Mikese mkoani Morogoro.

Chanzo: Global TV
Punguza ujuaji bila iyo ligi izo bus mpaka leo angekua anapakia mkaa na kwenye game angeshakimbia kitambo
 
Back
Top Bottom