Basi la Kampuni ya New Force lapata ajali na kuua watu watano

Kwani tochi za barabarani za polisi zina kazi gani?
Hata sisi abiria kuna mda tunawaendekeza hawa watu na tunabaki kuwalaumu usalama barabarani,gari iko mwendo kasi polisi anaingia anaongea vizuri anauliza hali ya mwendo,karibia abiria wote wanasema mwendo unaridhisha anawakumbusha kuhusu kupiga simu ikiwa kuna uvunjaji wa sheria za barabarani,abiria wao wanawaza kufika
Ikishatokea ajali lawama zinaanza,sasa wale watu mlitaka wafanyeje?

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
 
Back
Top Bottom