Beesmom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 37,436
- 92,238
Pole sana aisee..,.maisha haya bhanaHahahaaaa.....sawa mpwa....mshituko wa habari mbaya....😳😳😳😳
Pole sana aisee..,.maisha haya bhanaHahahaaaa.....sawa mpwa....mshituko wa habari mbaya....😳😳😳😳
huyo shabiby wa dodoma to moshi anavokimbia lig yake na machameNitaendelea kupanda shabiby tuu
mkuu mabasi yote yana basi mbili au tatu zinazokimbia mnoo uyo shabiby dodoma to moshi bas no. 1 ni linakimbizana na machame vibaya mnoMabasi yaliyobaki ni
- Shabiby
- ABC
- Kilimanjaro
- Kimbinyiko
Duuuh! Hatari sanavideo za ajali hivyo tufungue kwa tahadhali.View attachment 2664408
Ajari imetokea wapi mkuu? So sad dahðŸ˜Naona video yake hapa hakika inasikitisha sana yaani.
Nimeona pia wananchi au wadau wa usafiri wanailalamikia @LatraTZ kuwa wanaziandama basi flani za ukanda wa ziwa na kusahau njia nyingine wakidhani ajali ni kwa njia ya Mwanza tu.
Kufa tutakufa tu mkuuKwenye Ile video nimeona mkono wa mtu ukiwa umechomoka kama mdoli...........
Mungu awatie nguvu majeruhi na awalaze pema waliopoteza ndugu zao......
Hawa watu wanakimbia utadhani wamebeba ng'ombe vile.......
Niliwahi kupanda New force naenda Tunduma nikashukia Ilula.....nilikuwa naona kabisa uhai wangu ukiwa rehani......nikasema pesa zinatafutwa....
Weka video.Naona video yake hapa hakika inasikitisha sana yaani.
Nimeona pia wananchi au wadau wa usafiri wanailalamikia @LatraTZ kuwa wanaziandama basi flani za ukanda wa ziwa na kusahau njia nyingine wakidhani ajali ni kwa njia ya Mwanza tu.
Ni uzembe, tena sio wa mara moja.Zifutwe afu watu wale wapi?
Ajali ni bahati mbaya tu
Wanajiita "Wanazi" utakuta wanaimwagia maji bus iliyowahi stand, hawa wanazi ni wakuwapiga viboko kabisaAfu abiria wa kibongo
wanashabikia sn mwendokasi,
Utaskia: Gari kuwai mapema iko wapi[emoji26]
Pole ziwafikie wafiwa na majeruhi nawaombea afueni ya haraka!#HABARI: Watu watano wamefariki huku wengine wakijeruhiwa, baada ya basi la kampuni ya New Force, lenye namba za usajili T 173 DZU, kuanguka wakati likijaribu kulipita lori, kisha kupoteza uelekeo na kugonga daraja katika eneo la Kijiji cha Igando kilichopo wilayani Wanging'ombe mkoani wa Njombe.
.
Kwa taarifa zaidi endelea kutufuatilia.
#ITVUpdates
Kilimanjaro ya kishua Sana,Mabasi yaliyobaki ni
- Shabiby
- ABC
- Kilimanjaro
- Kimbinyiko
Soma mwanzo wa thread.Ajari imetokea wapi mkuu? So sad dah ðŸ˜
Nitaweka but bundle langu limepungua sana kwa sasa!.Weka video.
Asante mkuu, sijui nilikuwa nakimbilia wapi mpaka nikashindwa kutambua eneo la ajari.Soma mwanzo wa thread.
Yule jamaa ukikimbiza gar huna kaziKilimanjaro ya kishua Sana,
Kama Kobe vile, haihitaji haraka[emoji4]