Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 1,972
- 4,149
Miaka ya 90 mwishoni na mwanzoni 2000 yalikuwa yakifahamika kama chinja chinja. Watu walikuwa wanaogopa kupanda Abood bus. Kampuni iliyokuwa juu ilikuwa ni Hood na islam mwendo wa kobe ila sasa hivi wamefilisika na kumwacha abood akitamba.Abood wana madereva wengine wajinga sana hasa kwenye ku-overtake...wasipojiangalia watakuja kusababisha ajali...