kama uko eneo la tukio tunaomba u shoot gari vizuri na maelezo kamili
Haya magari ya hii kampuni yanakimbia Sana. Unatamani kushukaBasi kampuni ya mwekezaji kutoka China, New Force/Golden Deer imepata ajali na kuja watu wengi.
Wakati ajali hiyo inatokea ndani ya mwezi huu inatakua ajali ya 3 kwa kampuni hiyo baada ya last week kupata pia ajali maeneo ya Morogoro.
Chanzo ni mwendo wa mashindano.
kama uko eneo la tukio tunaomba u shoot gari vizuri na maelezo kamili
Hiyo Bima ya third party ili Bima wakulipe lazima uweke Mwanasheria awatishe na Ma Summons ya kuitwa Mahakamani kwenye kesi ya madai!!Nadhani ipo bima ya third party inayo cover mhanga wa tatu, ila wahuni bima huwa wanakwepa kulipa
Rama Tunduma Dar hiyo, jamaa niliwahi mfuata akiwa speed sanaaa, nilipomwambia apunguze speed Kuna jamaa wakawa wanampa kichwa kuwa aendelee kuipa moto, nikamwambia "kaka kuna wakati hizo kelele za wanaokushangilia hautaziona, utawajibika peke yako"Kuna dreva anaitwa Rama na mwingine huitwa Linyama kwenye hiyo kampuni wako rough hatari
Wamekufa watu...
KWamba madereva wanakimbizana kisa raia wamebet?LATRA wamewafungia Ally's na Katarama kufanya huu ujinga wa kukimbizana kisa watu wamebet kuna watu walikuwa wanalalamika. Matokeo yake ndo haya sasa.
Mungu Awapumzishe salama marehemu 🙏🏿
uekeweke ## ueleweke.Hebu tulia uandike vizuri uekeweke,idadi ya vifo, majeruhi na eneo basi lilipopata ajali
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
papala ### paparaAcha papala
Kiafrija ### kiafrika95% ya ajali za Kiafrija ni uzembe ,uzembe,uzembe,uzembe na ujinga.
Wapuuzi kweli kweli [emoji38][emoji38]Vijana wa siku hizi mnafeli wapi?
Mwandiko gani huu?
Ndiyo mnalalama tuwaachie bandari nyie hata kuandika hamjui!
Mungu ibariki Tanzania.
Kenge wewe.
UandishiAfu abiria wa kibongo
wanashabikia sn mwendokasi,
Utaskia: Gari kuwai mapema iko wapi[emoji26]
[emoji38][emoji38][emoji38]"iliyochini,kuja watu wengi,,,,
, inatakua ajali ya ,,,,Chanzo kikuyu n,,,, "
Kabla huja Post humu fanya kitu inaitwa PROOFREADING, unatia aibu kwa Wana -JF!
Hayo maneno umeandika mkuu as if umepona kwenye hiyo ajali.
KWamba madereva wanakimbizana kisa raia wamebet?