Basi la Kampuni ya New Force lapata ajali na kuua watu watano

Basi la Kampuni ya New Force lapata ajali na kuua watu watano

Ukiwa kwenye Basi ukiinuka kupaza sauti unafokewa......, kaa chini acha uoga, kufa utakufa tuu,

Unajirudia zako kinyume nyume kwenye siti yako unakaa na kuanza kufanya toba na kusubiri maandiko yatimie huku unajilia zako mahindi ya kuchemsha na miwa.
 
#HABARI: Watu watano wamefariki huku wengine wakijeruhiwa, baada ya basi la kampuni ya New Force, lenye namba za usajili T 173 DZU, kuanguka wakati likijaribu kulipita lori, kisha kupoteza uelekeo na kugonga daraja katika eneo la Kijiji cha Igando kilichopo wilayani Wanging'ombe mkoani wa Njombe.
.
Kwa taarifa zaidi endelea kutufuatilia.

#ITVUpdates
 

Attachments

  • FB_IMG_1687362787292.jpg
    FB_IMG_1687362787292.jpg
    106.6 KB · Views: 2
Back
Top Bottom