Basi la Kampuni ya New Force lapata ajali na kuua watu watano

Basi la Kampuni ya New Force lapata ajali na kuua watu watano

Haya magari ya new force yanakimbia jamani, nakumbuka last week nimepanda new force naenda Mbeya na ndo mara yangu ya kwanza kupanda new force.

Aloo gari inaovertake sijapata ona, maeneo yanayo-overtake ni ya hatari sana. Picha linaanza imeovertake gari na mbele kidogo tena kuna gari nyengine inakuja speed ila jamaa hawazi wala nini, kuna muda mpaka nikapiga kelele wenyeji wakawa wananishangaa wakaniambia mbona ni kawaida tu nikasema siangalii mbele.

Kuna muda tulikuwa kitonga nilikuwa naomba dua njia nzima tuvuke walau hapo, maana jamaa anaovertake pale tena yupo na mwendo mkali balaa njia yenyewe ni nyembamba, muda mwingne tupo kwenye kona kali ila jamaa anaovertake na wala haangalii mbele kuna nini, yeye anapiga honi tu anapita daah balaa sana haya magari.
 
Basi kampuni ya mwekezaji kutoka China, New Force/Golden Deer imepata ajali na kuja watu wengi.

Wakati ajali hiyo inatokea ndani ya mwezi huu inatakua ajali ya 3 kwa kampuni hiyo baada ya last week kupata pia ajali maeneo ya Morogoro.

Chanzo ni mwendo wa mashindano.
Duh kampuni yangu pendwa ya usafiri. Pole kwa wafiwa na majeruhi wajaliwe afya njema
 
Haya magari ya new force yanakimbia jamani, nakumbuka last week nimepanda new force naenda mbeya na ndo mara yangu ya kwanza kupanda new force.

Aloo gari inaovertake sijapata ona, maeneo yanayo-overtake ni ya hatari sana. Picha linaanza imeovertake gari na mbele kidogo tena kuna gari nyengine inakuja speed ila jamaa hawazi wala nini, kuna muda mpaka nikapiga kelele wenyeji wakawa wananishangaa wakaniambia mbona ni kawaida tu nikasema siangalii mbele.

Kuna muda tulikuwa kitonga nilikua naomba dua njia nzima tuvuke walau hapo, maana jamaa anaovertake pale tena yupo na mwendo mkali balaa njiA yenyewe ni nyembamba , muda mwngne tupo kwenye kona kali ila jamaa anaovertake na wala haangalii mbele kuna nini yeye anapiga honi tu anapita daah balaa sna haya magari.
Madereva wawe wanapimwa akili kabla ya kupewa gari.
 
Bado nitaendelea kuwakumbusha waadau wanaopanda high speed,kua inauwa au inatia kilema, kinga ni bora kuliko tiba!!
Inasikitisha sana mkuu. Yaani watu mnakufa tu kama wanyama...and for what? Hata bima sidhani kama wanayo hawa. Nchi za wenzetu huko wafiwa angalau wanalipwa vidola laki/milioni kadhaa watakujengea angalau kitu cha ukumbusho. Huku kwetu mtu unakufa tu kama ng'ombe and nobody cares....
 
Inasikitisha sana mkuu. Yaani watu mnakufa tu kama wanyama...and for what? Hata bima sidhani kama wanayo hawa. Nchi za wenzetu huko wafiwa angalau wanalipwa vidola laki/milioni kadhaa watakujengea angalau kitu cha ukumbusho. Huku kwetu mtu unakufa tu kama ng'ombe and nobody cares....
Nadhani ipo bima ya third party inayo cover mhanga wa tatu, ila wahuni bima huwa wanakwepa kulipa
 
Back
Top Bottom