Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 42,809
- 50,937
Mabasi yaliyobaki niNitaendelea kupanda shabiby tuu
- Shabiby
- ABC
- Kilimanjaro
- Kimbinyiko
Mabasi yaliyobaki niNitaendelea kupanda shabiby tuu
HushangikiaLinakwenda wapi!? Mbona unaharaka Sana!!
Anyway watu WA nyanda za juu hushangikia magari kukimbia!!
UandishiDuh kampuni yangu pendwa ya usafiri.pole kea wafiwa na majeruhi wajaliwe afya njema
Miundombinu, Miundombinu95% ya ajali za Kiafrija ni uzembe ,uzembe,uzembe,uzembe na ujinga.
Watu wanataka waongeze magariUnaambiwa hii Ni ajali ya 5 ndani ya mwez mmoja[emoji848]
Kamera zitasaidia ikitokea ajaliKuna member humu aishauri mabasi yote yafungwe kamera za kurekodi mwenendo wa safari ili kufilter madereva wazembe
Acha uchochezi Ndugu mwandishiBasi kampuni ya mwekezaji kutoka China, New Force/Golden Deer imepata ajali na kuua watu kadhaa.
Wakati ajali hiyo inatokea ndani ya mwezi huu itakuwa ajali ya 3 kwa kampuni hiyo baada ya last week kupata pia ajali maeneo ya Morogoro.
Chanzo ni mwendo wa mashindano.
Hawa wachina ni kama wamekuja ku depopulate Afrika, tukienda kwenye records sidhani haipiti miezi mitatu bila hiyo kampuni kudondosha busKwenye Ile video nimeona mkono wa mtu ukiwa umechomoka kama mdoli...........
Mungu awatie majeruhi na awalaze pema waliopoteza ndugu zao......
Hawa watu wanakimbia utadhani wamebeba ng'ombe vile.......
Niliwahi kupanda New force naenda Tunduma nikashukia Ilula.....nilikuwa naona kabisa uhai wangu ukiwa rehani......nikasema pesa zinatafutwa....
Kumonitor mwenendo wa madereva na kuwachukulia hatuaKamera zitasaidia ikitokea ajali
Kamera hutumika sana baada ya tukio kutokeaKumonitor mwenendo wa madereva na kuwachukulia hatua
Kuna member humu aishauri mabasi yote yafungwe kamera za kurekodi mwenendo wa safari ili kufilter madereva wazembe
Zipo za kutazama baada ya matukio na kabla yaKamera hutumika sana baada ya tukio kutokea
Huo muda hatuna wa kupoteza angalia mabasi yote hayo.Zipo za kutazama baada ya matukio na kabla ya
Nadhani ni advancement ya tacometre au tacograph inatumika sana UKYana vts tyr
Huyo Linyama alilipwa ile mil 850 aliyowadai hiyo kampuni.Kuna dreva anaitwa Rama na mwingine huitwa Linyama kwenye hiyo kampuni wako rough hatari
Huangalii wewe ni mfumo unatrack na kutoa taarifaHuo muda hatuna wa kupoteza angalia mabasi yote hayo.
KWamba madereva wanakimbizana kisa raia wamebet?