Gharama ipo kwa Yanga tu?Usumbufu wa taratibu za maandalizi, wapenzi na mashabiki kufika na kuingia uwanjani mapema kuzuia kukanyagana milangoni, matayarisho yawalinzi wetu, wapenzi wameingia jijini toka mikoani, gharama zote hizi nani analipa?
No! Lay not burden to him.BASHUNGWA MUST GO,
Du wadau...hamuogopi kupiga bull!Kweli wazir apomonywe urai tu
Ndiyo Ukweli WenyeweBASHUNGWA MUST GO,
Ipo kwa kila aliyekuwa uwanjani.Gharama ipo kwa Yanga tu?
Kweli Yanga ameonyesha matatizo makubwa ya maamuzi ya pupa.Walidhani Yanga ni lege lege kama vitimu vidogo hapo wametikisa nchi nusu ya wananchi ni Yanga watajuta kwa ujinga
Wanatakiwa washitakiwe na kulipa gharama za wadau mbalmbali, wanaendesha Ligi kama club ya mpira inayo milikiwa na mtu binafsiMimi si mpenzi kinda kinda wa Yanga lakini huwa naifuatilia sana.
Leo ilikuwa tuwafunge Simba ila pambano likaahirishwa kutokana na kujitokeza kwa shughuli nyingine ghafla ya kuzindua kitabu cha Mzee Ruksa.
Tatizo langu liko hapo!
Taratibu za kuahirisha pambano inabidi taarifa itoke masaa 24 kabla.
Sasa haya tunayoyaona niuswahili uliokithiri.
Hatuwezi kwenda namna hii.
Taarifa ya shughuli ya Mzee Ruksa haikujulikana mapema?
Usumbufu wa taratibu za maandalizi, wapenzi na mashabiki kufika na kuingia uwanjani mapema kuzuia kukanyagana milangoni, matayarisho yawalinzi wetu, wapenzi wameingia jijini toka mikoani, gharama zote hizi nani analipa?
Wizara husika na michezo imeleta furugu kwa wapenzi wa mpira YANGA na SIMBA.
Waziri na Wizara ikicheza na miamba hii ya soka nchini , hautaeleweka kamwe.
Na hapo ndio nasema Bashungwa anatakiwa kuwajibika, hatoshi.
View attachment 1777815
Mama hajui chochote hapo labda waziri Mkuu kwa vile amezoea kujipendekeza na kusema uongo.Rais
Waziri Mkuu
Waziri wa mchezo
Katibu mkuu wizara
Rais wa Tff
Masopyakindi, sijui kama hii taarifa naielewa vizuri. Saidia mkuu.Kweli Yanga ameonyesha matatizo makubwa ya maamuzi ya pupa.
Soma vizuri mkuu mimi namlaumu Bashungwa na Wizara yake kwa kucheza na unazi wa Watanzania kwa suala la soka, hasa YANGA na SIMBA.Masopyakindi, sijui kama hii taarifa naielewa vizuri. Saidia mkuu.
Mchezo umeahirishwa (ghafla), kwa sababu zipi, uzinduzi wa kitabu?
Kama hivyo ndivyo, mbona nawe leo nakuona ukishangilia uozo wa ajabu namna hii? Hii itakuwa serikali ya namna gani hii, si ndio tutakuwa "Banana kabisa hata kuliko tulivyowahi kuwa wakati wowote?
Hata kama kuna sababu muhimu zaidi ya hiyo, Yanga, kufuatana na barua yao hiyo wapo sahihi kabisa.
Nami nashangaa kuona mtu mwenye uelewa wa mambo kama wewe ukiwashutumu wanaofuata taratibu!
Tukienda hivi, huko serikalini kutakuwaje miezi sita toka sasa!