Salaam, Shalom!!
Tunaambiwa tusubiri mwezi tena Ili tupate sukari ya kututosha,
Ningependa kujua nini maana ya dharura?
Yaani tusubiri bunge likae ndipo libadili taratibu za kuwaondolea viwanda kuwa waagizaji pekee? Kwanini lisitoke tamko la dharura kuruhusu wafanyabiashara kuagiza sukari Toka Zambia na Uganda?
Nchi Iko kwenye uhaba wa Sukari, kwanini wafanyabiashara wasiruhusiwe kuvuka mipaka na kununua sukari hapo Jirani Zambia au Uganda?
Sukari Toka Zambia au Uganda ni wiki tu imefika.
Brazil kunani?
Hata ubora tu wa Sukari ya Kilombero imethibitika kuwa Bora kuliko ya Brazil, sukari Toka Brazil haikozi kwenye chai hata uweke vijiko 5 pia kuna tetesi kuwa sukari hiyo Toka Brazil ni GMO ,Bei Chee ila HASARA Kwa AFYA za watumiaji, cancer nk nk.
Ni muda mwafaka wa kununua sukari Kwa Jirani zetu kukidhi uhaba uliopo tukisubiri viwanda vyetu vya ndani vizalishe sukari ya kutosha.
Ombi: Tuchukue ndege yetu mpya ya mizigo ilopaki, ipakie shehena ya kutosha hapo Zambia na Uganda, ndani ya wiki shida ya sukari iwe historia.
Nawasilisha🙏
Tunaambiwa tusubiri mwezi tena Ili tupate sukari ya kututosha,
Ningependa kujua nini maana ya dharura?
Yaani tusubiri bunge likae ndipo libadili taratibu za kuwaondolea viwanda kuwa waagizaji pekee? Kwanini lisitoke tamko la dharura kuruhusu wafanyabiashara kuagiza sukari Toka Zambia na Uganda?
Nchi Iko kwenye uhaba wa Sukari, kwanini wafanyabiashara wasiruhusiwe kuvuka mipaka na kununua sukari hapo Jirani Zambia au Uganda?
Sukari Toka Zambia au Uganda ni wiki tu imefika.
Brazil kunani?
Hata ubora tu wa Sukari ya Kilombero imethibitika kuwa Bora kuliko ya Brazil, sukari Toka Brazil haikozi kwenye chai hata uweke vijiko 5 pia kuna tetesi kuwa sukari hiyo Toka Brazil ni GMO ,Bei Chee ila HASARA Kwa AFYA za watumiaji, cancer nk nk.
Ni muda mwafaka wa kununua sukari Kwa Jirani zetu kukidhi uhaba uliopo tukisubiri viwanda vyetu vya ndani vizalishe sukari ya kutosha.
Ombi: Tuchukue ndege yetu mpya ya mizigo ilopaki, ipakie shehena ya kutosha hapo Zambia na Uganda, ndani ya wiki shida ya sukari iwe historia.
Nawasilisha🙏