Pengine ni muhimu kuimarisha ulinzi siku ya BASH....maana kama tangazo la mwaliko tu lishazua mshikemshike,sijui siku ya shughuli yenyewe itakuwaje......Just hinking aloud
Waswahili bwana. Mtu una piga kelele uta fikiria ume lazimishwa kwenda kwenye hiyo sherehe. Kama shida ni details kasha sema zitaongezwa. Na nilivyoona mimi hii ni notification of invitation. Kama maelezo hayaja kutosheleza si umtuie pm W.J. akupe details zaidi? Sherehe siyo yako na hata usipo enda haki pungui kitu ila una lalamika uta dhani wame request ugharamie sherehe.
wakati mwingine tuna matatizo. Mwaliko umetolewa kwa maneno ya kiungwana kabisa lakini mtu mwingine anataka ligi! Kama kuna kitu hakijaeleweka wasiliana na mtoa habari na muulize kiungwana akueleweshe; lakini hapana! the "gotcha" mentality! Unasoma kitu badala ya kujaribu kuelewa unaanza kujiuliza wapi amekosea nimuoneshe nimeona.
Kama hiyo tafrija mtu hutaki kwenda hata kukosoa ni kuchezea watu akili tu. Kama unataka kujua unamuuliza mtoa hoja akupe maelezo zaidi na kama kuna kitu anataka kusahihisha atasahihisha, huo unaitwa uungwana. Lakini kuna watu ile chembe ya uungwana haipo tena wao ni ubishi, kupinga, kukomoa, kuumbua n.k
Well... tuombeane uzima tu.. ningependa sana kuja Big Apple, sijawahi kufika huko na mimi naondoe ushamba ushamba wa kijijini.
imekuwa afganstan gafla maana mada haijadiliwi tena...Mtoto wa kiume anasema "unitue na unikome"? Astaghfirullah!
Waswahili bwana. Mtu una piga kelele uta fikiria ume lazimishwa kwenda kwenye hiyo sherehe. Kama shida ni details kasha sema zitaongezwa. Na nilivyoona mimi hii ni notification of invitation. Kama maelezo hayaja kutosheleza si umtuie pm W.J. akupe details zaidi? Sherehe siyo yako na hata usipo enda haki pungui kitu ila una lalamika uta dhani wame request ugharamie sherehe.
wakati mwingine tuna matatizo. Mwaliko umetolewa kwa maneno ya kiungwana kabisa lakini mtu mwingine anataka ligi! Kama kuna kitu hakijaeleweka wasiliana na mtoa habari na muulize kiungwana akueleweshe; lakini hapana! the "gotcha" mentality! Unasoma kitu badala ya kujaribu kuelewa unaanza kujiuliza wapi amekosea nimuoneshe nimeona.
Kama hiyo tafrija mtu hutaki kwenda hata kukosoa ni kuchezea watu akili tu. Kama unataka kujua unamuuliza mtoa hoja akupe maelezo zaidi na kama kuna kitu anataka kusahihisha atasahihisha, huo unaitwa uungwana. Lakini kuna watu ile chembe ya uungwana haipo tena wao ni ubishi, kupinga, kukomoa, kuumbua n.k
Well... tuombeane uzima tu.. ningependa sana kuja Big Apple, sijawahi kufika huko na mimi naondoe ushamba ushamba wa kijijini.
Ndugu zangu wote JF, salaaam kwa wote ninaomba kuwafahamisha kwamba kwa kushirikiana na wananchi wengine kama kumi hivi, tunatayarisha bash kabambe la mwaka litakalo fanyika huko NYC, kwa maajaliwa ya Mungu itakuwa tarehe 27, June 2009.
- Shughuli zitaanza Saa Saba mchana kwa kuchoma nyama, vinywaji baridi, na muziki mzito sana mpaka Saa Mbili Usiku, katika Park moja maarufu sana pale NYC yaani Wilson Woods, Westchester, dakika kama 15 kutoka Manhattan, halafu usiku kutakuwa na Muziki wa Disco utakaoanza Saa Nne mpaka asubuhi ya tarehe 28, June 2009 katika ukumbi maarufu sana wa Alamo ambao uko hapo hapo karibu sana na hii Park zitakapoanzia hizi shughuli.
- Kimsingi ni Bash la kumuaga mshikaji wetu mmoja, nimeamua tu kuwapa hints mapema ili wale wa mbali tuanze kujitayarisha mapema, badala ya kuwashitukiza dakika za mwisho, na baadaye nitawafahamisha details zote muhimu mipango itakapokamilika ambayo kwa sasa bado iko kwenye duru za awali, lakini ninawaahidi wale wote wenye nia ya kufika huko kwamba kama kawaida yangu sitawaangusha tutaondoka wote tukiwa tumeridhika, tuombe Mungu tu hali ya hewa iwe kama ilivyo sasa, ninaamini kwamba itakuwa isipokuwa basi tutafahamishana any mabadiliko.
- Kwa niaba ya wenzangu wote tunaohusika, ninawakaribisha ndugu zangu wote wa JF na wengine wote kufika huko, hatuhitaji mchango isipokuwa tunaamini kwamba utakuwa considerate na kutokuja mikono mitupu siku ya siku itakapofika.
Ahsanteni Sana.
Wenu
William Malecela.
- Ni wivu na chuki kwa sababu hujashirikishwa na unatakiwa uende kama wananchi wengine, sasa usiharibu sherehe ya watu kama wakati ule wa sherehe ya Mama Migiro ukajaribu sana kuiharibu lakini ukakwama nasikia ukaingia kwenye sherehe na mapovu ya hasira mwili mzima, huku watu wanabonyezana na vicheko, acha mkuu watu walishakushitukia zamani sana na matatizo ya wivu na chuki,
- Subiri utapewa taarifa kamili, acha hizi longo longo haziwezi kuharibu sherehe kama unavyotegemea, itafanyika kama zile zingine zilizofanyika huku ukipigana sana kuziharibu, pole sana mkuu lakini nasikia matayarisho yanaendelea kama kawa, ninaapa kwa chuki ulizonazo hii shughuli huwezi kwenda, halafu pia kuna watu kule unawaogopa kukutana nao uso kwa uso kwa sababu ya matatizo yako ya chuki na wivu, sasa wamekugundua,
- Utabakia hivyo hivyo anti-social na kuchukia watu bila sababu kumbe tatizo ni wewe mwenyewe na mawivu na machuki ya kijinga, hata ulete mtoto mdogo hapa atanga'amua kua una matatizo flani hivi yanahitaji dawa, umeanzisha chama kikafa puh! chini kisa watu hawakukuamini kwamba you are for real, sasa waachie wanaominiwa na wananchi huwezi lazimisha uongozi kwa nguvu mkuu, sasa kaa pembeni uongozwe tena na uliowakuta ukaenda macho juu sasa tizama ulipoangukia maana kama haupo vile!
- Sherehe ipo na itafanyika kama kawa kaa pembeni utapewa news, mahali nilipo haihusu kitu hii ni Global mkuu, tunajua na kushirki anywhere at anytime, tumeshiriki Busanda itakuwa NYC sasa usilete ya location maana hayahusu, jikasirkie mwenyewe kwa kuwekwa pembeni na wananchi usilaumu watu hapa na visingizio chunguzima mpaka unadikiri kusema maneno ya nyama mbichi, eti kutokuja mikono mitupu maana yake ni kuja na nyama mbichi, pole sana mkuu halafu unazidi kujiabisha tu na kuwahakikishia wanaokuweka pembeni kwamba hawakosei,
- Yako huwa ninaiita the greatest melt down, ulianza kama msomi na mchambuaji makini na siku hizi umeishia kuwa mdundiko unitue na unikome halafu unajisema mwenyewe kuwa vichochoroni na biriani type, sisi tutakwenda na tutakuletea salam, kwenda huwezi maana utaishia kuzomewa tu, Bwa! ha! ha! ha! na nasikia wakulu wa taifa na international commuinity watakuwepo kama kawa, sasa suka au unyoe ila mtuzima ni aibu kuwa anti-social kwa sababu tu wananchi hawakutaki kuwaongoza!
Respect.
FMES!
Kaaa yaani tena NY?? Willy hebu fanya basi mgharimie mwana JF mmoja toka Tz awakilishe?? Najiteua mimi. Wadau mnasemaje???
Na sisi wana JF wa Tz tutakuwa na kujirusha lini??? Au tunaogopa mbwa wa Kova??? Naitamani siku hiyo nitakapomwona live wewe, yule, wale, nk. kwa nia njema tu. Tatizo ni kwamba hatuwezi kuchuja dedicated na vibaraka kwenye hilo libeneneke!!! Watakuja kusoma namba zetu za magari au kutafuta namba za taxi tutakazopanda halafu watufuatilie!!! Thubutu siku hiyo nitabadili njia na taxi kama kumi nitabadili vituoni!!! Tehe tehe!!
Ndugu zangu wote JF, salaaam kwa wote ninaomba kuwafahamisha kwamba kwa kushirikiana na wananchi wengine kama kumi hivi, tunatayarisha bash kabambe la mwaka litakalo fanyika huko NYC, kwa maajaliwa ya Mungu itakuwa tarehe 27, June 2009.
- Shughuli zitaanza Saa Saba mchana kwa kuchoma nyama, vinywaji baridi, na muziki mzito sana mpaka Saa Mbili Usiku, katika Park moja maarufu sana pale NYC yaani Wilson Woods, Westchester, dakika kama 15 kutoka Manhattan, halafu usiku kutakuwa na Muziki wa Disco utakaoanza Saa Nne mpaka asubuhi ya tarehe 28, June 2009 katika ukumbi maarufu sana wa Alamo ambao uko hapo hapo karibu sana na hii Park zitakapoanzia hizi shughuli.
- Kimsingi ni Bash la kumuaga mshikaji wetu mmoja, nimeamua tu kuwapa hints mapema ili wale wa mbali tuanze kujitayarisha mapema, badala ya kuwashitukiza dakika za mwisho, na baadaye nitawafahamisha details zote muhimu mipango itakapokamilika ambayo kwa sasa bado iko kwenye duru za awali, lakini ninawaahidi wale wote wenye nia ya kufika huko kwamba kama kawaida yangu sitawaangusha tutaondoka wote tukiwa tumeridhika, tuombe Mungu tu hali ya hewa iwe kama ilivyo sasa, ninaamini kwamba itakuwa isipokuwa basi tutafahamishana any mabadiliko.
- Kwa niaba ya wenzangu wote tunaohusika, ninawakaribisha ndugu zangu wote wa JF na wengine wote kufika huko, hatuhitaji mchango isipokuwa tunaamini kwamba utakuwa considerate na kutokuja mikono mitupu siku ya siku itakapofika.
Ahsanteni Sana.
Wenu
William Malecela.
Mkuu ni nani huyu mnamuaga. I am in NY too.
Haya mambo na utaratibu mzima yanaonekana yatakuwa bab kubwa.
Mimi nawatakia kila la kheri katika hafla hio.