- Ni wivu na chuki kwa sababu hujashirikishwa na unatakiwa uende kama wananchi wengine, sasa usiharibu sherehe ya watu kama wakati ule wa sherehe ya Mama Migiro ukajaribu sana kuiharibu lakini ukakwama nasikia ukaingia kwenye sherehe na mapovu ya hasira mwili mzima, huku watu wanabonyezana na vicheko, acha mkuu watu walishakushitukia zamani sana na matatizo ya wivu na chuki,
- Subiri utapewa taarifa kamili, acha hizi longo longo haziwezi kuharibu sherehe kama unavyotegemea, itafanyika kama zile zingine zilizofanyika huku ukipigana sana kuziharibu, pole sana mkuu lakini nasikia matayarisho yanaendelea kama kawa, ninaapa kwa chuki ulizonazo hii shughuli huwezi kwenda, halafu pia kuna watu kule unawaogopa kukutana nao uso kwa uso kwa sababu ya matatizo yako ya chuki na wivu, sasa wamekugundua,
- Utabakia hivyo hivyo anti-social na kuchukia watu bila sababu kumbe tatizo ni wewe mwenyewe na mawivu na machuki ya kijinga, hata ulete mtoto mdogo hapa atanga'amua kua una matatizo flani hivi yanahitaji dawa, umeanzisha chama kikafa puh! chini kisa watu hawakukuamini kwamba you are for real, sasa waachie wanaominiwa na wananchi huwezi lazimisha uongozi kwa nguvu mkuu, sasa kaa pembeni uongozwe tena na uliowakuta ukaenda macho juu sasa tizama ulipoangukia maana kama haupo vile!
- Sherehe ipo na itafanyika kama kawa kaa pembeni utapewa news, mahali nilipo haihusu kitu hii ni Global mkuu, tunajua na kushirki anywhere at anytime, tumeshiriki Busanda itakuwa NYC sasa usilete ya location maana hayahusu, jikasirkie mwenyewe kwa kuwekwa pembeni na wananchi usilaumu watu hapa na visingizio chunguzima mpaka unadikiri kusema maneno ya nyama mbichi, eti kutokuja mikono mitupu maana yake ni kuja na nyama mbichi, pole sana mkuu halafu unazidi kujiabisha tu na kuwahakikishia wanaokuweka pembeni kwamba hawakosei,
- Yako huwa ninaiita the greatest melt down, ulianza kama msomi na mchambuaji makini na siku hizi umeishia kuwa mdundiko unitue na unikome halafu unajisema mwenyewe kuwa vichochoroni na biriani type, sisi tutakwenda na tutakuletea salam, kwenda huwezi maana utaishia kuzomewa tu, Bwa! ha! ha! ha! na nasikia wakulu wa taifa na international commuinity watakuwepo kama kawa, sasa suka au unyoe ila mtuzima ni aibu kuwa anti-social kwa sababu tu wananchi hawakutaki kuwaongoza!
Respect.
FMES!