Bash La Mwaka NYC: Wakulu Tukutane Huko

- Saalam kwa wakuu wote mliohudhuria jana kwenye bash la mwaka, ninasema I am humbled, maana never before kuona something like this bash ilihudhuriwa na wananchi karibu 200, maofisa wote wa ubalozi wetu NY walikuwepo, maofisa wetu wengi wa Umoja wa Mataifa wakiongozwa na msaidizi maalum wa Naibu Katibu Mkuu wa UN alikuwepo, Balozi wetu UN pia alikuwepo, what a day! Afisa utawala wa ubalozi wetu NY alitoa speech na baadaye pia balozi wetu UN alitoa speech nzito sana ambapo aliwataka wananchi wa Tanzania walioko US kuiga mfano wa hawa vijana wawili wanaorudi nyumbani, ambapo Mama Migiro aliwataka wananchi kuendeleza mshikamano na umoja wetu huu, hata tukiwa ugenini.

- Wananchi walalahoi wenzangu ndio usiseme, tulikuwa wote as one na bega kwa bega kufanikisha siku hii, kuanzia kwenye kuchoma nyama mpaka usiku kwenye muziki Club Alamo mpaka majogoo leo asubuhi, walikuwepo wananchi kutoka Boston, Philadephia, Poconos, Delaware, DC, PA na CT, halafu kulikuwa na mazee kutoka Jersey City, Brooklyn, Long Island, City Island, Queens, Manhattan yaani New York City, na Roosevelt Island guys again I am humbled, never before nimewahi kutayarisha best bash kama hii katika maisha yangu ya macelebrations, it was fantastic nyama na kuku tumerudi nazo, na vinywaji vilivyotumika ni robo tu, vingine vyote tumerudi navyo, sasa nitatafuta another day kabla ya mwisho wa Summer tukutane tena kuvimalizia yes I mean it.

- Wakulu wote mlioitikia mwito wa kuja kushirikiana na sisi watayarishaji Mungu awape zaidi, ninarudia tena kwamba sijawahi katika maisha yangu kutayarisha bash lililofanikiwa kama hili maana ilibidi wananchi wengine pale park kubaki wakitu-admire wabongo tukila starehe bila matatizo wala taabu, ustaarabu wa hali ya juu sana, watoto wetu wadogo wakijirusha kila kona ya park, ooooh! God bless Tanzania.

- Kwa niaba ya watayarishaji wote tulioshirikiana kutayarisha the bash la jana, na waagwa pia naomba kutoa shukrani zangu kwa wananchi wote mliojitokeza jana kuanzia saa Saba mchana mpaka leo asbuhi majogoo, ninasema kwamba tupo pamoja na in the future tutaendelea kuwa pamoja sana kama siku zote katika shida na raha, na tutaliendeleza libeneke la raha jipe mwenyewe mpaka kieleweke! Wananchi wengine wote nitawatumia e-mails za shukrani soon.

Heshima kwa Wote! na Mungu Awabarikie! na Kwaherini ya Kuonana Tena!


Community Organizer - CO William Malecela.
 
...never before nimewahi kutayarisha best bash kama hii katika maisha yangu ya macelebrations,

...ninarudia tena kwamba sijawahi katika maisha yangu kutayarisha bash lililofanikiwa kama hili maana

... na sisi watayarishaji Mungu awape zaidi... Kwa niaba ya watayarishaji wote tulioshirikiana kutayarisha the bash la jana

Kumbe watayarishaji walikuwa wengi, ghafla naona Wile unaanza ku take credit...duuu

By the way, Mahiga nae anaanza kwenda over the hill. Mara kwenye vi draft fuctions vya Hashimu, mara kwenye vi picnic vya vijana kwenye ma parki... Angewachia kina balozi Semfue wafanye hivi vi extracurriculars
 
Kumbe watayarishaji walikuwa wengi, ghafla naona Wile unaanza ku take credit...duuu

By the way, Mahiga nae anaanza kwenda over the hill. Mara kwenye vi draft fuctions vya Hashimu, mara kwenye vi picnic vya vijana kwenye ma parki... Angewachia kina balozi Semfue wafanye hivi vi extracurriculars

- Kelele za mlango! pole sana mkuu na wala hatuku-notice kwamba hukuwepo. Pia next time jaribu kurekebisha lugha yako na uwe na heshima kwa viongozi na wanaokuzidi umri, anaitwa DR. A. Mahiga, sio kama ulivyomuita ni suala dogo sana la heshima tu ambalo wa-Tanzania wote tumefundishwa toka tukiwa vidudu, kwamba watu wazima na viongozi huwa hatuwaiti majina yao hovyo hovyo, bila kuonyesha heshima.

Wasalimie.

William.
 
1. Ndugu zangu wote JF, salaaam kwa wote ninaomba kuwafahamisha kwamba kwa kushirikiana na wananchi wengine kama kumi hivi, tunatayarisha bash kabambe la mwaka litakalo fanyika huko NYC, kwa maajaliwa ya Mungu itakuwa tarehe 27, June 2009.

2. - Kimsingi ni Bash la kumuaga mshikaji wetu mmoja,

3. - Kwa niaba ya wenzangu wote tunaohusika, ninawakaribisha ndugu zangu wote wa JF na wengine wote kufika huko, hatuhitaji mchango isipokuwa tunaamini kwamba utakuwa considerate na kutokuja mikono mitupu siku ya siku itakapofika.

Ahsanteni Sana.

Wenu


William Malecela.


Quote: Dilunga

Kumbe watayarishaji walikuwa wengi, ghafla naona Wile unaanza ku take credit...duuu



- Ukishakuwa na hasira na chuki za kijinga, unakuwa huwezi hata kuona ukweli, unaishia kukurupuka, tizama my original post kuhusu hii sherehe na maneno ya the hater, by the way jana watoto wadogo wali-have a lot of fun kwenye cookout.

- jifunze kusoma na kuelewa maneno ya wengine kabla ya kukurupuka na majibu yenye hate na wivu pamoja na jazba, furaha ya wananchi 200 wakiwemo watoto wadogo kwako ni huzuni, sasa unajaribu kupindisha ukweli wakati uko hapo juu wazi, soma tena na uombe radhi bro!

Ahsante.



william.
 
- Ukishakuwa na hasira na chuki za kijinga, unakuwa huwezi hata kuona ukweli, unaishia kukurupuka, tizama my original post kuhusu hii sherehe na maneno ya the hater, by the way jana watoto wadogo wali-have a lot of fun kwenye cookout.

- jifunze kusoma na kuelewa maneno ya wengine kabla ya kukurupuka na majibu yenye hate na wivu pamoja na jazba, furaha ya wananchi 200 wakiwemo watoto wadogo kwako ni huzuni, sasa unajaribu kupindisha ukweli wakati uko hapo juu wazi, soma tena na uombe radhi bro!

Ahsante.



william.

Naona ukweli umekugusa, unazidi kutoka mapovu wakati mara ya kwanza ulijaribu kuu dismiss.

William, huwezi kuchukua credit kwa shughuli ambayo imefanywa na wengi. Hujui wanaosoma humu wanaweza kuwa baadhi ya hao waandalizi, wanaona unageuza the subject of the event, jamaa wanaoagwa, inakuwa wewe ndio umechukua center stage sasa. Duu...
 
Ndugu zangu wote JF, salaaam kwa wote ninaomba kuwafahamisha kwamba kwa kushirikiana na wananchi wengine kama kumi hivi, tunatayarisha bash kabambe la mwaka litakalo fanyika huko NYC, kwa maajaliwa ya Mungu itakuwa tarehe 27, June 2009.

- Shughuli zitaanza Saa Saba mchana kwa kuchoma nyama, vinywaji baridi, na muziki mzito sana mpaka Saa Mbili Usiku, katika Park moja maarufu sana pale NYC yaani Wilson Woods, Westchester, dakika kama 15 kutoka Manhattan, halafu usiku kutakuwa na Muziki wa Disco utakaoanza Saa Nne mpaka asubuhi ya tarehe 28, June 2009 katika ukumbi maarufu sana wa Alamo ambao uko hapo hapo karibu sana na hii Park zitakapoanzia hizi shughuli.

- Kimsingi ni Bash la kumuaga mshikaji wetu mmoja, nimeamua tu kuwapa hints mapema ili wale wa mbali tuanze kujitayarisha mapema, badala ya kuwashitukiza dakika za mwisho, na baadaye nitawafahamisha details zote muhimu mipango itakapokamilika ambayo kwa sasa bado iko kwenye duru za awali, lakini ninawaahidi wale wote wenye nia ya kufika huko kwamba kama kawaida yangu sitawaangusha tutaondoka wote tukiwa tumeridhika, tuombe Mungu tu hali ya hewa iwe kama ilivyo sasa, ninaamini kwamba itakuwa isipokuwa basi tutafahamishana any mabadiliko.

- Kwa niaba ya wenzangu wote tunaohusika, ninawakaribisha ndugu zangu wote wa JF na wengine wote kufika huko, hatuhitaji mchango isipokuwa tunaamini kwamba utakuwa considerate na kutokuja mikono mitupu siku ya siku itakapofika.

Ahsanteni Sana.

Wenu

William Malecela.

Quote; Dilunga

Naona ukweli umekugusa, unazidi kutoka mapovu wakati mara ya kwanza ulijaribu kuu dismiss.

William, huwezi kuchukua credit kwa shughuli ambayo imefanywa na wengi. Hujui wanaosoma humu wanaweza kuwa baadhi ya hao waandalizi, wanaona unageuza the subject of the event, jamaa wanaoagwa, inakuwa wewe ndio umechukua center stage sasa. Duu...

- Bado ukweli uko pale pale kama nilivyotangaza siku ya kwanza kwamba watayarishaji tuko kumi, mimi ndiye kiongozi na masterminder wa hii shughuli hilo huwezi kupindisha,

- Halafu unakumbuka sherehe ya kumuaga Balozi Mwakawago, wewe ndiye uliyeanzisha the idea lakini ukashindwa kuchanguisha hela za sherehe, ukanifuata mimi kuniomba nikusaidie, bila kinyongo wala maswali nikakusaidia within one week nikakusanya dola $ 1500, sherehe ikafanyika siku ya sherehe unakumbuka ulivyosimama mbele na kudai all the credit? Mimi sina hayo matatizo na besides hawa niliotayarisha nao tunashirkiana kila siku kwa ishu mbali mbali za maisha yetu, furaha yako siku zote ukishindwa huwa nikugombanisha waliokushinda, mwenyewe unajua kwamba hapa umekwama ndio kwanza watayarishaji wote tunatoka huko Brazilian Club kuangalia mpira wa leo,

- Na pia tumejadili sana what to do na vinywaji vilivyobaki, unakaribishwa sana kama unataka kujiunga nasi mkuu, maana usipoweza kutupiga as you have tried basi ujiunge nasi tu, najua jana sherehe yako ilidoda sana maana kuna waliokimbia kwako wakaja kwetu, otherwise pole sana mkuu jumuiya nzima haiwezi kusimama kwa sababu yako wewe mtu mmoja! Pamoja na kelele zako matusi mengi sherehe imefanyika tena big time na sasa tunaangalia kufanya nyingine soon tutakuarifu as usual!

Ahsante.

william.
 
Bill achana na debate zisizo na msingi....bash lilikuwa bomba na heshima mbele Mkuu
 
- Saalam kwa wakuu wote mliohudhuria jana kwenye bash la mwaka, ninasema I am humbled, maana never before kuona something like this bash ilihudhuriwa na wananchi karibu 200, maofisa wote wa ubalozi wetu NY walikuwepo, maofisa wetu wengi wa Umoja wa Mataifa wakiongozwa na msaidizi maalum wa Naibu Katibu Mkuu wa UN alikuwepo, Balozi wetu UN pia alikuwepo, what a day! Afisa utawala wa ubalozi wetu NY alitoa speech na baadaye pia balozi wetu UN alitoa speech nzito sana ambapo aliwataka wananchi wa Tanzania walioko US kuiga mfano wa hawa vijana wawili wanaorudi nyumbani, ambapo Mama Migiro aliwataka wananchi kuendeleza mshikamano na umoja wetu huu, hata tukiwa ugenini.

vijana gani?
 
Bill achana na debate zisizo na msingi....bash lilikuwa bomba na heshima mbele Mkuu

- Mkuu Ogah, heshima mbele sana na ubarikiwe, tunajaribu as a jumuiya kukataa kutishiwa na huyu hater, kwa sababu so far anajaribu kuwafanya wanajumuiya waiogope internent, hilo tunalikataa kwa kauli moja hasa kutoka kwa huyu hater ambaye ameikuta hii jumuiya hata kabla hajahamia hapa kutoka Soviet, internent ndiyo chombo cha kisasa cha kuwasiliana among wananchi, na tutaendelea kuitumia regardless ya hate messages kama za huyu hater.

- Halafu pia nimfahamishe kwamba hizi shuguli za bash, huko nyuma nilikuwa nikizifanya kwa kushirikiana na dada wa mkewe huyu hater, ambapo mabalozi wa nchi za kiafrika walikuwa hawakosi kila Jumamosi kwenye Club niliyokuwa nikizifanya unajua usipokuwa na historia ni rahisi sana kukurupuka na hate messages kama za huyu hater, kumbe haya mambo ya bash zetu wabongo yalikuwepo hata kabla hujaingia kwenye jumuiya.

Otherwise, mkuu Ogah nimekusikia sana maneno yako mazito.

Ahsante.

William.
 
- Mkuu Ogah, heshima mbele sana na ubarikiwe, tunajaribu as a jumuiya kukataa kutishiwa na huyu hater, kwa sababu so far anajaribu kuwafanya wanajumuiya waiogope internent, hilo tunalikataa kwa kauli moja hasa kutoka kwa huyu hater ambaye ameikuta hii jumuiya hata kabla hajahamia hapa kutoka Soviet, internent ndiyo chombo cha kisasa cha kuwasiliana among wananchi, na tutaendelea kuitumia regardless ya hate messages kama za huyu hater.
bwa ha ha ha ha bado tu unaendeleza?
- Halafu pia nimfahamishe kwamba hizi shuguli za bash, huko nyuma nilikuwa nikizifanya kwa kushirikiana na dada wa mkewe huyu hater
uliharibu hatuwezi kujua.......
 
- Bado ukweli uko pale pale kama nilivyotangaza siku ya kwanza kwamba watayarishaji tuko kumi, mimi ndiye kiongozi na masterminder wa hii shughuli hilo huwezi kupindisha,

- Halafu unakumbuka sherehe ya kumuaga Balozi Mwakawago, wewe ndiye uliyeanzisha the idea lakini ukashindwa kuchanguisha hela za sherehe, ukanifuata mimi kuniomba nikusaidie, bila kinyongo wala maswali nikakusaidia within one week nikakusanya dola $ 1500, sherehe ikafanyika siku ya sherehe unakumbuka ulivyosimama mbele na kudai all the credit? Mimi sina hayo matatizo na besides hawa niliotayarisha nao tunashirkiana kila siku kwa ishu mbali mbali za maisha yetu, furaha yako siku zote ukishindwa huwa nikugombanisha waliokushinda, mwenyewe unajua kwamba hapa umekwama ndio kwanza watayarishaji wote tunatoka huko Brazilian Club kuangalia mpira wa leo,

- Na pia tumejadili sana what to do na vinywaji vilivyobaki, unakaribishwa sana kama unataka kujiunga nasi mkuu, maana usipoweza kutupiga as you have tried basi ujiunge nasi tu, najua jana sherehe yako ilidoda sana maana kuna waliokimbia kwako wakaja kwetu, otherwise pole sana mkuu jumuiya nzima haiwezi kusimama kwa sababu yako wewe mtu mmoja! Pamoja na kelele zako matusi mengi sherehe imefanyika tena big time na sasa tunaangalia kufanya nyingine soon tutakuarifu as usual!

Ahsante.

william.

Mkuu William, mnabishana kitu gani hapa? nasikitika sana kuona vijana ambao tunaweza kuleta maendeleo kwenye nchi yetu,tuna kaa kwenye mitandao na kuanza kubishana kwa vitu ambavo haviwezi kutusaidia kwenye maisha yetu.....

Wile hongera sana kwa kuwaandalia wadau wa NYC hiyo kitu..nilitegemea kwenye hiyo bash mngekaa na kujadili mustakabali wanchi yetu inavyo kwenda na kuandaa mikakati madhubuti ya kuinua ndugu zenu kiuchumi,badala yake mtu unakaa hapa na kuandika eti nilikuchangia $ 1500..

Hivi unajua hiyo pesa uliyo ichezea kwa kumfanyia mtu party sijui ya kumuaga sijui ya kitu gani! unaonaje kama unge wasaidia wale watoto huko mbagala ambao wanasoma kwenye mchanga wakanunulia madawati na n'k...

Mkuu Wile we sindie ulisema una acha kujiusicha na maswala ya mtandao?
kulikoni tena?

Watu walio shiba ni matatizo kweli
 
Mkuu William, mnabishana kitu gani hapa? nasikitika sana kuona vijana ambao tunaweza kuleta maendeleo kwenye nchi yetu,tuna kaa kwenye mitandao na kuanza kubishana kwa vitu ambavo haviwezi kutusaidia kwenye maisha yetu.....

- Hatubishani hii ni demokrasia maswali hujibiwa, na hoja hujibiwa kwa hoja, the hater ana maswali ni lazima ajibiwe, katika demokrasia hakuna maswali rahisi wala magumu, kinachoweza kukusaidia wewe kwenye maisha sio lazima kinisaidie na mimi, mkuu acha mawazo ya chama kimoja maana yamepitwa na wakati, otherwise shukrani kwa pongezi, zimefika.

Wile hongera sana kwa kuwaandalia wadau wa NYC hiyo kitu..nilitegemea kwenye hiyo bash mngekaa na kujadili mustakabali wanchi yetu inavyo kwenda na kuandaa mikakati madhubuti ya kuinua ndugu zenu kiuchumi,badala yake mtu unakaa hapa na kuandika eti nilikuchangia $ 1500..

- Bash ilikuwa ya kuwaaga ndugu zetu na sio bash ya kuzungumzia maendeleo kila kitu kina wakati wake, kama ni uchumi wengi wetu tuliokuwepo kwenye bash tunalipwa na uchumi wa US, sasa haikuwa tatizo kuuongezea huo uchumi kwa kuuchangia dola 1500 ambazo inaonekana zimekugusa sana, pole sana lakini ndio mambo ubepari tunaoufuata Tanzania sasa hivi, yaani wananchi wanakuwa huru kutumia hela na wakati wao as they see it to be fit kutokana na masiha yao. Hawaamuliwi na serikali what to do na hela zao kama unavyoonekana ku-suggest.

Hivi unajua hiyo pesa uliyo ichezea kwa kumfanyia mtu party sijui ya kumuaga sijui ya kitu gani! unaonaje kama unge wasaidia wale watoto huko mbagala ambao wanasoma kwenye mchanga wakanunulia madawati na n'k...

- Unaona sasa pole pole unaonyesha who you are na matatizo uliyonayo, hela zilizotumika kwenye sherehe ni za wananchi wenye haki ya kuamua what to do with it, sio kuamuliwa na serikali, halafu maisha sio kusaidia watoto wa Mbagala tu, kama unavyotaka tuamini maana yangekuwa basi ungesema wewe umetuma ngapi huko Mbagala.

- Unahangaika sana, hata unashauri kwamba ni makosa kumuomba Balozi anayeishi dakika tano kutoka Park ya sherehe, badala yake tungemuomba Balozi wa DC maili 300 kutoka hiyo Park, ili zichomwe hela za serikali bila sababu wakati wote ni mabalozi, halafu wewe tena eti unawajali sana watoto wa Mbagala, what a joke mkuu acha kukimbia kivuli chako

Mkuu Wile we sindie ulisema una acha kujiusicha na maswala ya mtandao?
kulikoni tena?

- Mkuu nilijua nikishakubana utabadilika rangi na kuja na hizi nyepesi nyepesi, ulianza kwa nguvu halafu unazimika mwenyewe mwishoni sababu huna hoja zaidi ya majungu na wivu, kuingia hapa JF au kutoingia sio uamuzi wako ni wangu mazee, kama wewe ulivyo na uamuzi wa kubadilika rangi ili uonekane una hoja, next time jiunge na jumuiya mkuu maana huwezi kushindana na wananchi 200 walioshiriki kwenye hii sherehe ya kuwaaga ndugu zetu, halafu si nilisikia kwamba wewe ni shehe mkubwa sana sasa vipi mkuu haya unayoyatema ndio ya hizo za ushehe au? aahhhhhgggrrr inachekesha sana!

Watu walio shiba ni matatizo kweli

- Pole sana mwenye njaa, by the way sherehe yako ya juzi iliyokosa watu, imeku-cost hela ngapi maana hiki kilio sio chabure kwa wewe "masikini", labda tunaweza kuomba wananchi wakuchangie uweze ku-recover sema tu mkuu, ila soon nitakufahamisha lini tutaangusha bash lingine! kweli miaka 10 communist sio mchezo.

Ahsante.

William - Wazee wa CO Community O!
 
- Hatubishani hii ni demokrasia maswali hujibiwa, na hoja hujibiwa kwa hoja, the hater ana maswali ni lazima ajibiwe, katika demokrasia hakuna maswali rahisi wala magumu, kinachoweza kukusaidia wewe kwenye maisha sio lazima kinisaidie na mimi, mkuu acha mawazo ya chama kimoja maana yamepitwa na wakati, otherwise shukrani kwa pongezi, zimefika.



- Bash ilikuwa ya kuwaaga ndugu zetu na sio bash ya kuzungumzia maendeleo kila kitu kina wakati wake, kama ni uchumi wengi wetu tuliokuwepo kwenye bash tunalipwa na uchumi wa US, sasa haikuwa tatizo kuuongezea huo uchumi kwa kuuchangia dola 1500 ambazo inaonekana zimekugusa sana, pole sana lakini ndio mambo ubepari tunaoufuata Tanzania sasa hivi, yaani wananchi wanakuwa huru kutumia hela na wakati wao as they see it to be fit kutokana na masiha yao. Hawaamuliwi na serikali what to do na hela zao kama unavyoonekana ku-suggest.



- Unaona sasa pole pole unaonyesha who you are na matatizo uliyonayo, hela zilizotumika kwenye sherehe ni za wananchi wenye haki ya kuamua what to do with it, sio kuamuliwa na serikali, halafu maisha sio kusaidia watoto wa Mbagala tu, kama unavyotaka tuamini maana yangekuwa basi ungesema wewe umetuma ngapi huko Mbagala.

- Unahangaika sana, hata unashauri kwamba ni makosa kumuomba Balozi anayeishi dakika tano kutoka Park ya sherehe, badala yake tungemuomba Balozi wa DC maili 300 kutoka hiyo Park, ili zichomwe hela za serikali bila sababu wakati wote ni mabalozi, halafu wewe tena eti unawajali sana watoto wa Mbagala, what a joke mkuu acha kukimbia kivuli chako



- Mkuu nilijua nikishakubana utabadilika rangi na kuja na hizi nyepesi nyepesi, ulianza kwa nguvu halafu unazimika mwenyewe mwishoni sababu huna hoja zaidi ya majungu na wivu, kuingia hapa JF au kutoingia sio uamuzi wako ni wangu mazee, kama wewe ulivyo na uamuzi wa kubadilika rangi ili uonekane una hoja, next time jiunge na jumuiya mkuu maana huwezi kushindana na wananchi 200 walioshiriki kwenye hii sherehe ya kuwaaga ndugu zetu, halafu si nilisikia kwamba wewe ni shehe mkubwa sana sasa vipi mkuu haya unayoyatema ndio ya hizo za ushehe au? aahhhhhgggrrr inachekesha sana!



- Pole sana mwenye njaa, by the way sherehe yako ya juzi iliyokosa watu, imeku-cost hela ngapi maana hiki kilio sio chabure kwa wewe "masikini", labda tunaweza kuomba wananchi wakuchangie uweze ku-recover sema tu mkuu, ila soon nitakufahamisha lini tutaangusha bash lingine! kweli miaka 10 communist sio mchezo.

Ahsante.

William - Wazee wa CO Community O!


Different day, same sh*t
 
- Hatubishani hii ni demokrasia maswali hujibiwa, na hoja hujibiwa kwa hoja, the hater ana maswali ni lazima ajibiwe, katika demokrasia hakuna maswali rahisi wala magumu, kinachoweza kukusaidia wewe kwenye maisha sio lazima kinisaidie na mimi, mkuu acha mawazo ya chama kimoja maana yamepitwa na wakati, otherwise shukrani kwa pongezi, zimefika.



- Bash ilikuwa ya kuwaaga ndugu zetu na sio bash ya kuzungumzia maendeleo kila kitu kina wakati wake, kama ni uchumi wengi wetu tuliokuwepo kwenye bash tunalipwa na uchumi wa US, sasa haikuwa tatizo kuuongezea huo uchumi kwa kuuchangia dola 1500 ambazo inaonekana zimekugusa sana, pole sana lakini ndio mambo ubepari tunaoufuata Tanzania sasa hivi, yaani wananchi wanakuwa huru kutumia hela na wakati wao as they see it to be fit kutokana na masiha yao. Hawaamuliwi na serikali what to do na hela zao kama unavyoonekana ku-suggest.



- Unaona sasa pole pole unaonyesha who you are na matatizo uliyonayo, hela zilizotumika kwenye sherehe ni za wananchi wenye haki ya kuamua what to do with it, sio kuamuliwa na serikali, halafu maisha sio kusaidia watoto wa Mbagala tu, kama unavyotaka tuamini maana yangekuwa basi ungesema wewe umetuma ngapi huko Mbagala.

- Unahangaika sana, hata unashauri kwamba ni makosa kumuomba Balozi anayeishi dakika tano kutoka Park ya sherehe, badala yake tungemuomba Balozi wa DC maili 300 kutoka hiyo Park, ili zichomwe hela za serikali bila sababu wakati wote ni mabalozi, halafu wewe tena eti unawajali sana watoto wa Mbagala, what a joke mkuu acha kukimbia kivuli chako



- Mkuu nilijua nikishakubana utabadilika rangi na kuja na hizi nyepesi nyepesi, ulianza kwa nguvu halafu unazimika mwenyewe mwishoni sababu huna hoja zaidi ya majungu na wivu, kuingia hapa JF au kutoingia sio uamuzi wako ni wangu mazee, kama wewe ulivyo na uamuzi wa kubadilika rangi ili uonekane una hoja, next time jiunge na jumuiya mkuu maana huwezi kushindana na wananchi 200 walioshiriki kwenye hii sherehe ya kuwaaga ndugu zetu, halafu si nilisikia kwamba wewe ni shehe mkubwa sana sasa vipi mkuu haya unayoyatema ndio ya hizo za ushehe au? aahhhhhgggrrr inachekesha sana!



- Pole sana mwenye njaa, by the way sherehe yako ya juzi iliyokosa watu, imeku-cost hela ngapi maana hiki kilio sio chabure kwa wewe "masikini", labda tunaweza kuomba wananchi wakuchangie uweze ku-recover sema tu mkuu, ila soon nitakufahamisha lini tutaangusha bash lingine! kweli miaka 10 communist sio mchezo.

Ahsante.

William - Wazee wa CO Community O!
Bwaha ha ha ha ha ha baharia......lini unaanza kukaa nje ya mitandao?
 
- Sawa wakuu naona maswali hakuna tena, sasa tunaelekea kwenye msiba wa rafiki mkubwa wa the hater, nilisema shida na raha tunakuwa pamoja.

Ahsante na Later.


William CO
 
- Hatubishani hii ni demokrasia maswali hujibiwa, na hoja hujibiwa kwa hoja, the hater ana maswali ni lazima ajibiwe, katika demokrasia hakuna maswali rahisi wala magumu, kinachoweza kukusaidia wewe kwenye maisha sio lazima kinisaidie na mimi, mkuu acha mawazo ya chama kimoja maana yamepitwa na wakati, otherwise shukrani kwa pongezi, zimefika.



- Bash ilikuwa ya kuwaaga ndugu zetu na sio bash ya kuzungumzia maendeleo kila kitu kina wakati wake, kama ni uchumi wengi wetu tuliokuwepo kwenye bash tunalipwa na uchumi wa US, sasa haikuwa tatizo kuuongezea huo uchumi kwa kuuchangia dola 1500 ambazo inaonekana zimekugusa sana, pole sana lakini ndio mambo ubepari tunaoufuata Tanzania sasa hivi, yaani wananchi wanakuwa huru kutumia hela na wakati wao as they see it to be fit kutokana na masiha yao. Hawaamuliwi na serikali what to do na hela zao kama unavyoonekana ku-suggest.



- Unaona sasa pole pole unaonyesha who you are na matatizo uliyonayo, hela zilizotumika kwenye sherehe ni za wananchi wenye haki ya kuamua what to do with it, sio kuamuliwa na serikali, halafu maisha sio kusaidia watoto wa Mbagala tu, kama unavyotaka tuamini maana yangekuwa basi ungesema wewe umetuma ngapi huko Mbagala.

- Unahangaika sana, hata unashauri kwamba ni makosa kumuomba Balozi anayeishi dakika tano kutoka Park ya sherehe, badala yake tungemuomba Balozi wa DC maili 300 kutoka hiyo Park, ili zichomwe hela za serikali bila sababu wakati wote ni mabalozi, halafu wewe tena eti unawajali sana watoto wa Mbagala, what a joke mkuu acha kukimbia kivuli chako



- Mkuu nilijua nikishakubana utabadilika rangi na kuja na hizi nyepesi nyepesi, ulianza kwa nguvu halafu unazimika mwenyewe mwishoni sababu huna hoja zaidi ya majungu na wivu, kuingia hapa JF au kutoingia sio uamuzi wako ni wangu mazee, kama wewe ulivyo na uamuzi wa kubadilika rangi ili uonekane una hoja, next time jiunge na jumuiya mkuu maana huwezi kushindana na wananchi 200 walioshiriki kwenye hii sherehe ya kuwaaga ndugu zetu, halafu si nilisikia kwamba wewe ni shehe mkubwa sana sasa vipi mkuu haya unayoyatema ndio ya hizo za ushehe au? aahhhhhgggrrr inachekesha sana!



- Pole sana mwenye njaa, by the way sherehe yako ya juzi iliyokosa watu, imeku-cost hela ngapi maana hiki kilio sio chabure kwa wewe "masikini", labda tunaweza kuomba wananchi wakuchangie uweze ku-recover sema tu mkuu, ila soon nitakufahamisha lini tutaangusha bash lingine! kweli miaka 10 communist sio mchezo.

Ahsante.

William - Wazee wa CO Community O!

ha ha ha teh teh teh kwi kwi kwi.Mkuu hoja yangu naona imekuwa mwiba kwako, na imeibua vitu vingi sana,nimeweza kuona kitu kilicho ndani yako.

baada ya hii topic nitajiweka kando rasmi na mitandao in general mpaka huko mbele ya safari ambako sijui itakuwaje na ni lini.

Ahsante Sana Wakuu.

William. - Community Organizer (CO)

Mkuu Wile na subiria kusikia tamko lako rasmi ni lini utaacha kujiusisha na maswala ya mitandao?
 
Last edited:
Back
Top Bottom