cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,326
Mbona hata katiba iliyopo Ina mazuri mengi ukiondoa ku I favor ccm madarakani ila changamoto ya hii nchi yetu Bado umaskini na sip katiba. Katiba inaweza kuwa nzuri bila mipango ya kukuza uchumi na umaskini hatutavuka sehemu. Kenya Wana katiba nzuri ila umaskini uko palepaleUnaweza kuwa na hoja lakini hata hizo sera kama hazisimamiwi na sheria hamna kinachofanyika. Kwani sasa hatuna sera? Sera tunazo ila sheria zinazosimamia hizo sera ndo zimekuwa kizungumkuti.
Katiba ni sheria mama kiasi kwamba mwelekeo chanya huzaliwa na katiba iliyobora kulingana na nyakati tulizonazo na zinazokuja.