Cheology
JF-Expert Member
- Jun 25, 2022
- 323
- 502
Paul Makonda baba Keagan tafadhali tunaumizwa huku.
Ni miezi na miezi maji hayatoki tunaendelea kukosa pamoja na mvua na mafuriko makubwa wakati maji hayohayo yakotoka baadhi ya maeneo.
Leo tumepokea hii taarifa
Sisi hayo masaa ambayo maji hayatatoka.mbona sisi tuna masaa, wiki na miezi maji hayatoki?? Wanashindwa kutoa majibu yanayoeleweka. Kusihi.kwetu maeneo ya juu Inakuaje sababu ya kuwa presha ni ndogo, mvua zikinyesha maji ni mengi si ndio presha inakuwa kubwa hatuelewi, naamini utatusaidia wananchi wa maeneo mengi tajwa.
Kinyerezi kanga tunaonewa na majibu yao kuwa tutaisoma namba sisi wana ccm kosa letu ni kuwa na chama chetu.??
Ni miezi na miezi maji hayatoki tunaendelea kukosa pamoja na mvua na mafuriko makubwa wakati maji hayohayo yakotoka baadhi ya maeneo.
Leo tumepokea hii taarifa
Sisi hayo masaa ambayo maji hayatatoka.mbona sisi tuna masaa, wiki na miezi maji hayatoki?? Wanashindwa kutoa majibu yanayoeleweka. Kusihi.kwetu maeneo ya juu Inakuaje sababu ya kuwa presha ni ndogo, mvua zikinyesha maji ni mengi si ndio presha inakuwa kubwa hatuelewi, naamini utatusaidia wananchi wa maeneo mengi tajwa.
Kinyerezi kanga tunaonewa na majibu yao kuwa tutaisoma namba sisi wana ccm kosa letu ni kuwa na chama chetu.??