samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,176
watakuita Sukuma Ganga au Mataga bila kujua hata wewe ulikuwa unapambana na team mwendazake...ngoja waamke huko..
wamejigeuza kundi ambalo agenda zao ndio ziwe agenda za watanzania wote, wanataka Taifa liwadekeze maana wao ndio specials katika Taifa hili...yaani leo hii Taifa na chama kilicho madarakani kiache kutekeleza ilani ya chama baadala yake kiwasikilize chadema na ilani yao..
wamejigeuza kundi ambalo agenda zao ndio ziwe agenda za watanzania wote, wanataka Taifa liwadekeze maana wao ndio specials katika Taifa hili...yaani leo hii Taifa na chama kilicho madarakani kiache kutekeleza ilani ya chama baadala yake kiwasikilize chadema na ilani yao..