Amlifaya kimekuwa kipindi cha ovyo ovyo sana saivi..hakina mvuto kabisa kwanguVipi kale kademu kengine cha upepo kwenye Amplifaya? bado kapo? maana nilishaacha kusikiliza kile kipindi baada ya kenyewe kuongezwa kama mtangazaji...utani wa kitoto mwingi na kanaboa kweli...sijui uongozi CMG unatatizo gani na watu kama hawa....
walivo anza kuupiga walisema wame pitia taratibu zote za kibali cha kufanya hivohawa kilaudis wao ni kila siku.. me spendi kwakweli huu wimbo unasehem zake na ukiusikia inabidi uache yooote utulie na kujiandaa kupata brekinnyuuuuzzz
Kwahiyo ni sawa tu fredwaa kukaripiwa kama mtoto mdogo na yeye kuwa kama kanyeshewa mvua??Si dhani kama hua ni seriouz, just jokes tu kuongeza utamu wa kipindi. Na huo utani wao ndo unanifanyaga kupenda kusikiliza POWER BREAKFAST
Hadi wewe umesema basi Barbara anashida.Ni hako kamama, kwanza kanaingia too late na kuanza ujingaujinga.
Apunguze unene kwanza, yule akisimama kwa mbali utadhani banda la chips.
Kama ndio huyu, ebu tutake radhi mkuu....
View attachment 812982
Mpigie kwa radio-call/walkie-tlkie usisahau kutune frequency modulation.Ukipata namba yake, unipatie.
We umeolewa?
Hahahaa yule mdada akiongea ananiumiza kichwa, anapenda kweli kuchanganya kiingereza na kiswahili, tena kiingereza sio cha kufloo fasta fasta lazima apige desh kwa mda anatutaftia neno la kiingereza analitoa anaunga na kiswahili afu anastaki tena anatupia kiingereza na kujirudiarudia, ni km vile kiswahili hakijakaa kichwani so misamiati ni ya kiingereza ila anashindwa kupata kiswahili chake ndomana anatoa hivyohivyo kiingerezaUnajua kuna tofauti ya kutaja tu maneno ya kiingireza kwa kuyachanganya na kiswahili,na kuongea fluent english??
OK.Ok!Ndiyo huyu huwa anatamka "bonji" badala ya bonge ama sponge na sponji?Kama ndio huyu, ebu tutake radhi mkuu....
View attachment 812982
Hajaolewa?