KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,908
- 40,147
Kwani jua la jioni halitoi mwanga...!!?Hakuzibi..ila ndo hivo tena anakuwa jua la jioni
Kwani jua la jioni halitoi mwanga...!!?Hakuzibi..ila ndo hivo tena anakuwa jua la jioni
kibonge mwepesi yule. Tatizo ni single motherHuyu mwanadada/mwanamama ndo anayeongoza kipindi cha asubuhi cha Power breakfast,lakini amekuwa na tabia ya kuwakaripia kina masoud kipanya na ciza.
Kuna kipindi wakati Ciza ndo ameingia kwenye PB,alikuwa anamkatisha katisha wakati jamaa alikuwa anaongea,tena vitu vinavyomake sense,,mara amtishie atamzimia Mic mara vile,yaani vurugu tupu..
Sasa jana kazira kipindi kizima kisa Masoud kipanya alimwambia akae kimya,yeye aongee..na hii ndo tabia yake kukaripia wenzake,lakini yeye kidogo tu anazira..
Huyu mwanamama inabidi ajirekebisha..anakera sana
Ajabu GTs hawawezi kuona kitu kama hicho. Lakini ni kawaida ya watu waliotawaliwa na negativity kichwani mwao hawawezi kuangalia kitu positively.chief, nadhani you're missing the whole point.
kwenye radio & tv aina hizi za debates ni muhimu ili kunogesha kipindi. check CNN, etc.
vinginevyo vipindi vinaweza kuwa extremely boring!
True..haya mambo ya sura na mwonekano ndo mtu alivyoumbwa,,so sio busara kuargue na uumbwaji wa mtu.
Shauri yao.Komenti zako ndio zinafanya watu wakuone una chuki binafsi.
Vyombo vya habari vingi vya bongo ni vya hovyo hovyo kweli,,ila ndo hivo vinatofautiana u hovyohovyo..Media za Kenya aisee zipo juu,,ukiangalia habari citizen tv hadi mwenyewe unakubali,media zao ni standard za international..Clouds haijawahi kuwa serious na kipindi chao chochote,ni hovyo hovyo tu nadhani ni radio iliyokua designed kwa ajili ya vijana wanaovalia nguo chini ya matako na suruali zilizochanwa chanwa magotini.
Leo wamemwalika Balozi Kairuki akawa anaongelea mambo ya maana biashara ya Tanzanite kati ya Tz na China wao wanamkatisha katisha kila mara na lugha zao za chooni ooh sijui mzee Baba kafanya nini huyo balozi haelewi hata Hizo lugha za kihuni wanazotumia wao.Very foolish&Childish.
Lakini is unaona kupitia huo mwangaMwanga uliofifia..
Tumuoe huyo [emoji13] c unatafuta kutawaliwa...!!!?redioni anaongea kiasi kile nyumbn je....Wanaume jitoleeni mumuoe, ataacha
Piga kwa Kipanya mkuu anakupatia....maana kamchoka kwa gubu lake....Ukipata namba yake, unipatie.
Mkuu mimi Sina chakuongeza umeniandikia.Sio siri sauti yake huwa inanipa raha sana na zaidi ya yote anajua kuongea, kushangaa, kuuliza, kucheka, yuko complete, kiukweli ananivutia sana sana sana sana, natamani nikae tukiongea naye mambo ya utani milele yote.
mi mwenyewe linanikera sana lile li mwanamke
alafu linapenda sifa sjui lipoje.
Mwambie 07108989*8 namba yakeHuyu mwanadada/mwanamama ndo anayeongoza kipindi cha asubuhi cha Power breakfast,lakini amekuwa na tabia ya kuwakaripia kina masoud kipanya na ciza.
Kuna kipindi wakati Ciza ndo ameingia kwenye PB,alikuwa anamkatisha katisha wakati jamaa alikuwa anaongea,tena vitu vinavyomake sense,,mara amtishie atamzimia Mic mara vile,yaani vurugu tupu..
Sasa jana kazira kipindi kizima kisa Masoud kipanya alimwambia akae kimya,yeye aongee..na hii ndo tabia yake kukaripia wenzake,lakini yeye kidogo tu anazira..
Huyu mwanamama inabidi ajirekebisha..anakera sana
Unajua kuna tofauti ya kutaja tu maneno ya kiingireza kwa kuyachanganya na kiswahili,na kuongea fluent english??
ni katika kutaniana tu....All in all huyu mazake ashley ana tatizo ktk kumudu hisia zake kali,anamkaripia fredwa kama mtoto mdogo
Nadhani ni stress za masingo maza hapa mjini