Chuki binafsi. Kizungu anakijua tena sanaaaHalafu linavyojifanya linajua kizungu basi. Kizungu chenyewe cha kuunga unga. Yaani ni lilimbukeni balaa.
Ha ha ha ha, jidanganye tu. Sina tatizo na hilo.Chuki binafsi. Kizungu anakijua tena sanaaa
Kwani mtu akifika menopause kule kunaziba..!?Hajafika menopouse kweli??
pia waache kutumia wimbo wa taifa kuupiga asubuhi kama kibwagizo cha habari yaoHuyu mwanadada/mwanamama ndo anayeongoza kipindi cha asubuhi cha Power breakfast,lakini amekuwa na tabia ya kuwakaripia kina masoud kipanya na ciza.
Kuna kipindi wakati Ciza ndo ameingia kwenye PB,alikuwa anamkatisha katisha wakati jamaa alikuwa anaongea,tena vitu vinavyomake sense,,mara amtishie atamzimia Mic mara vile,yaani vurugu tupu..
Sasa jana kazira kipindi kizima kisa Masoud kipanya alimwambia akae kimya,yeye aongee..na hii ndo tabia yake kukaripia wenzake,lakini yeye kidogo tu anazira..
Huyu mwanamama inabidi ajirekebisha..anakera sana
ndo huyu mnaemuongeleaaa?Naomba nisiongeze neno tafadhali...View attachment 812983
Just Jokes Hao watu!WazoeeeeHuyu mwanadada/mwanamama ndo anayeongoza kipindi cha asubuhi cha Power breakfast,lakini amekuwa na tabia ya kuwakaripia kina masoud kipanya na ciza.
Kuna kipindi wakati Ciza ndo ameingia kwenye PB,alikuwa anamkatisha katisha wakati jamaa alikuwa anaongea,tena vitu vinavyomake sense,,mara amtishie atamzimia Mic mara vile,yaani vurugu tupu..
Sasa jana kazira kipindi kizima kisa Masoud kipanya alimwambia akae kimya,yeye aongee..na hii ndo tabia yake kukaripia wenzake,lakini yeye kidogo tu anazira..
Huyu mwanamama inabidi ajirekebisha..anakera sana
hawa kilaudis wao ni kila siku.. me spendi kwakweli huu wimbo unasehem zake na ukiusikia inabidi uache yooote utulie na kujiandaa kupata brekinnyuuuuzzzWimbo wa taifa unapigwa kwenye special occations tu..hata shule za sekondari unaimbwa mara nyingi jumatatu tu
Kizungu Anakijua Kweli Kweli Yaani!Baada ya kuondoka Ncha Kali na Vannesa Mdee CMG Amebaki yeye Anayeongea Vizuri SanaaaaaaHalafu linavyojifanya linajua kizungu basi. Kizungu chenyewe cha kuunga unga. Yaani ni lilimbukeni balaa.
Wapenda Mafurushi WatamuoaWanaume jitoleeni mumuoe, ataacha
Hajaolewa?Wanaume jitoleeni mumuoe, ataacha
Kama mimi, sinaga utani kabisaWanaume wenye roho ngumu wapo.
Hakuna mchaga anasura mbaya hivyoWanaopenda mitupwisaa mnakaribishwa.Huyu dada ana mdomo hata mwanamke wa Kizaramo hayuko hivyo.Sijui ni mchaga wa wapi huyu na sijui kwann hatumii jina la Marealle la babake
Na pia kuongea term za kimedical huku nyingine akitulisha matango pori,,kama kuna siku nilimsikia akisema kuwa"blood arteries ni shinikizo la damu"Anapenda sana kuongea Kiingereza kibovu cha kulazimisha ,Babra ongea tu kiswahili lugha yetu adhimu utaeleweka.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu mtanzania mwenzako unamuita... "Li" ?
Ukipenda chongo huita kengeza, wahenga walisema.Kizungu Anakijua Kweli Kweli Yaani!Baada ya kuondoka Ncha Kali na Vannesa Mdee CMG Amebaki yeye Anayeongea Vizuri Sanaaaaaa