IROKOS
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 10,182
- 7,850
Mkuu mtanzania mwenzako unamuita... "Li" ?Halafu linavyojifanya linajua kizungu basi. Kizungu chenyewe cha kuunga unga. Yaani ni lilimbukeni balaa.
Mkuu mtanzania mwenzako unamuita... "Li" ?Halafu linavyojifanya linajua kizungu basi. Kizungu chenyewe cha kuunga unga. Yaani ni lilimbukeni balaa.
Na kazi aliyonayo anakosa kweli mwanaume??..sina hakikaLet me guess, ni mnene na anajichubua kinoma, hana bwana wa kumtimizia mahitaji yake ya usiku kitandani, kutokana na kukosa hivi vitu anawatolea stress Wafanyakazi wenzake. Tulisema hapa, dushe ni dawa watu wakatukatalia na wengine wakataka kujiua, si mnaona sasa mwenzenu Barbra Hassan anachanganikiwa?
Unataka nimuitaje, kwa mfano?Mkuu mtanzania mwenzako unamuita... "Li" ?
True..haya mambo ya sura na mwonekano ndo mtu alivyoumbwa,,so sio busara kuargue na uumbwaji wa mtu.Wadau ni vema mkajikita kwenye uchambuzi wa kazi yake.., si busara huu udadavuzi ukahusisha hadi uumbwaji wake jambo ambalo lipo nje ya uwezo wake!
Mkurugenzi wa vipindi vyote hapo CMG...Na Ruge ni nani?
Yeah nilimaanisha kila kipindi lazima awepo kiongozi.... Hapo PB kuna Karibu watu watano so there must be a leaderHiyo bosi ya huyu jamaa aliyeuliza,ni ile ya msimamizi wa kipindi..
Si mtaki hata kidogo yule mama hayo yoote yaliyo andikwa hapo niliyaona pale tu walipo sifiwa na jiweNampenda sana huyu dada.
Nadhani ni drama tu ambazo watu wanakuwa nazo.
Kukiwa na watu wawili watatu drama lazima ziwepo
wale wanataniana tu acha kuchukulia siriazi ndugu duuuhmi mwenyewe linanikera sana lile li mwanamke
alafu linapenda sifa sjui lipoje.
Dug, sauti zinaficha mengi!!Kama ndio huyu, ebu tutake radhi mkuu....
View attachment 812982
Na kazi aliyonayo anakosa kweli mwanaume??..sina hakika
Namba ya miguu? unataka kumnunulia viatu? au namba ya gari umuombe lift? au namba ya simu umrushie airtime?Ukipata namba yake, unipatie.
Kayataka mwenyewe!! [emoji3] [emoji3] [emoji3]True..haya mambo ya sura na mwonekano ndo mtu alivyoumbwa,,so sio busara kuargue na uumbwaji wa mtu.
Ni hako kamama, kwanza kanaingia too late na kuanza ujingaujinga.Bosi wa kipindi ni nani? Au wote ni makambale?
Ya watu walio piga sahihi kwenye kitabu chake cha wageniNamba ya miguu? unataka kumnunulia viatu? au namba ya gari umuombe lift? au namba ya simu umrushie airtime?
Wanaopenda mitupwisaa mnakaribishwa.Huyu dada ana mdomo hata mwanamke wa Kizaramo hayuko hivyo.Sijui ni mchaga wa wapi huyu na sijui kwann hatumii jina la Marealle la babakeWanaume jitoleeni mumuoe, ataacha