Barbra Hassan wa Power Breakfast Clouds FM acha gubu

Darmian

JF-Expert Member
Oct 1, 2017
17,176
46,193
Huyu mwanadada/mwanamama ndo anayeongoza kipindi cha asubuhi cha Power breakfast,lakini amekuwa na tabia ya kuwakaripia kina masoud kipanya na ciza.

Kuna kipindi wakati Ciza ndo ameingia kwenye PB,alikuwa anamkatisha katisha wakati jamaa alikuwa anaongea,tena vitu vinavyomake sense,,mara amtishie atamzimia Mic mara vile,yaani vurugu tupu..

Sasa jana kazira kipindi kizima kisa Masoud kipanya alimwambia akae kimya,yeye aongee..na hii ndo tabia yake kukaripia wenzake,lakini yeye kidogo tu anazira..

Huyu mwanamama inabidi ajirekebisha..anakera sana
 
Wanaume jitoleeni mumuoe, ataacha
Kama ndio huyu, ebu tutake radhi mkuu....
download-1.jpeg
 
20 Reactions
Reply
Back
Top Bottom