ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,715
- 28,268
Acha utani bana hebu bandika picha yake halisiKama ndio huyu, ebu tutake radhi mkuu....
View attachment 812982
Acha utani bana hebu bandika picha yake halisiKama ndio huyu, ebu tutake radhi mkuu....
View attachment 812982
umeona eeh..Chuki binafsi. Kizungu anakijua tena sanaaa
Labda nikusaiedie wewe mkuu, huyo Babra siwezi hata nika tangulizana nae kwa street.... tehteehhhSi mnasema hamtaki vimbaumbau msaidieni dada mood swings zimpungue
hovyo kabisaa.. mmekosa nyimbo ya kuchombezea habari zenyuwalivo anza kuupiga walisema wame pitia taratibu zote za kibali cha kufanya hivo
Hahahami mwenyewe linanikera sana lile li mwanamke
alafu linapenda sifa sjui lipoje.
Huna lolote wewe. Kaa kimya au nenda kaongee hicho Kiingereza chenu na huyo sijui Babro.
sio babro bana ni baboo
Mbona wadau huko nyuma wanasema yupo single ila hapo ana Pete kabisa?
kumbe kiuchumi yuko vizuri!Jana nimeona Ghorofa lake lilikuwa linaungua.
Mzee watangazaji/Wasanii karibia wengi wa hivi vituo/Fani wanaishi kwenye Ma_MANSIONS.kumbe kiuchumi yuko vizuri!
Pole KipanyaHuyu mwanadada/mwanamama ndo anayeongoza kipindi cha asubuhi cha Power breakfast,lakini amekuwa na tabia ya kuwakaripia kina masoud kipanya na ciza.
Kuna kipindi wakati Ciza ndo ameingia kwenye PB,alikuwa anamkatisha katisha wakati jamaa alikuwa anaongea,tena vitu vinavyomake sense,,mara amtishie atamzimia Mic mara vile,yaani vurugu tupu..
Sasa jana kazira kipindi kizima kisa Masoud kipanya alimwambia akae kimya,yeye aongee..na hii ndo tabia yake kukaripia wenzake,lakini yeye kidogo tu anazira..
Huyu mwanamama inabidi ajirekebisha..anakera sana
Haoleki huyuu, kuna mwanaume alishamshindwa, ingia mkenge uone!!Kama ndio huyu, ebu tutake radhi mkuu....
View attachment 812982
Ohhooo.....Haoleki huyuu, kuna mwanaume alishamshindwa, ingia mkenge uone!!
Na pia kuongea term za kimedical huku nyingine akitulisha matango pori,,kama kuna siku nilimsikia akisema kuwa"blood arteries ni shinikizo la damu"