Mwanaginingi
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 464
- 400
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Ukipenda chongo huita kengeza, wahenga walisema.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Ukipenda chongo huita kengeza, wahenga walisema.
sio excuse ya kumsema hivo saKayataka mwenyewe!! [emoji3] [emoji3] [emoji3]
true...ana English nzuri tuChuki binafsi. Kizungu anakijua tena sanaaa
wewe ndo hujui....prolly ndo maana hujui kama ANAKIJUA tena VIZURI SANA....Halafu linavyojifanya linajua kizungu basi. Kizungu chenyewe cha kuunga unga. Yaani ni lilimbukeni balaa.
[emoji23][emoji23][emoji23]dah maybe we ndo hujui mkuu...but kusema ukweli anakijua vizuri tu tena sana....Anapenda sana kuongea Kiingereza kibovu cha kulazimisha ,Babra ongea tu kiswahili lugha yetu adhimu utaeleweka.
AlhamdulilahYa watu walio piga sahihi kwenye kitabu chake cha wageni
Kwani ukijidanganya mie napata tabu gani?wewe ndo hujui....prolly ndo maana hujui kama ANAKIJUA tena VIZURI SANA....
acha WIVU mtoto wa kiume...msemeni vyote lakini hapo kune lugha anaijua fresh tu...Kwani ukijidanganya mie napata tabu gani?
Dahhh....ndo huyu mnaemuongeleaaa?
Hahaahaaahaaaaa....[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Dug, sauti zinaficha mengi!!
Huna lolote wewe. Kaa kimya au nenda kaongee hicho Kiingereza chenu na huyo sijui Babro.acha WIVU mtoto wa kiume...msemeni vyote lakini hapo kune lugha anaijua fresh tu...
sio babro bana ni baboo[emoji1]Huna lolote wewe. Kaa kimya au nenda kaongee hicho Kiingereza chenu na huyo sijui Babro.
Hahaha dah eti Babra anajua kingereza? dah yani yule ni mweupe sana kichwani, yule mwachie dk 10 tu aongee kingereza kama hujazima radio, kingereza chake ni cha kuunga unga...wewe ndo hujui....prolly ndo maana hujui kama ANAKIJUA tena VIZURI SANA....
Hata kama ni babuu sawa tu.sio babro bana ni baboo[emoji1]
maana kama ndo huyu mbona lizee hili limeshakongoloka.. ila inavoongea kwenye kipindi duh! linonekana libabe flani hiviii.. asavali ya DIVA japo nae pepe sanaDahhh....
Hata mimi pia nasubiria wanao mjua wakuje... tehteehhh