Barbra Hassan wa Power Breakfast Clouds FM acha gubu

Barbra Hassan wa Power Breakfast Clouds FM acha gubu

Kwahiyo ni sawa tu fredwaa kukaripiwa kama mtoto mdogo na yeye kuwa kama kanyeshewa mvua??
Ushaambiwa ni chifupi chibonge, so wanamchukulia km troll flani hivi, au labda ukibishana na mfupi unaonekana unamuonea
 
Yaani siku hizi JF mtu tu akijisikia kumchafua mtu....anakuja tu huku kumuanzishia uzi.....!!!

JF ni sehemu makini Haya yanayoendelea yanaifanya JF kuwa kijiwe cha wambea na wapika majungu!!!!

JF ni chombo cha heshima!!!!!

Wadau wengine wanaenda mbali sana!!!!!
 
Yaani siku hizi JF mtu tu akijisikia kumchafua mtu....anakuja tu huku kumuanzishia uzi.....!!!

JF ni sehemu makini Haya yanayoendelea yanaifanya JF kuwa kijiwe cha wambea na wapika majungu!!!!

JF ni chombo cha heshima!!!!!

Wadau wengine wanaenda mbali sana!!!!!
Mkuu mimi nimekosoa..sijaja kwa lengo la kuchafua..ni wapi kwenye uzi wangu nimemchafua babra??
 
images-2-jpeg.812983

khaaa mbaya
bora abaki tu hukohuko kwenye redio FM
kuliko kumuweka kwenye 360 Clods
atachafua
mwanamke mbabe mbishi hajui nidhamu
 
Hivi kwa comments zinazoendelea kuhusu huyu binti humu ndani ni suala la kuzira tu au kuna mengine nyuma ya pazia? Kuna comments humu kuhusu huyu binti ambazo sio fair kabisa.
 
Hivi kwa comments zinazoendelea kuhusu huyu binti humu ndani ni suala la kuzira tu au kuna mengine nyuma ya pazia? Kuna comments humu kuhusu huyu binti ambazo sio fair kabisa.
Hapa ndipo ilipofikia JF....

Sio tena home of great thinkers

Bali ni kijiwe cha wambea kusutana na kuchafuana
 
Menopause na hoja yako vina uhusiano gani...!!?
Menopose ni level ya umri tu..sasa nikisema mtoto wa miaka 14 yupo kwenye adolescence nakuwa nimekosea??..anyway zaidi ya hapo sidhani kama kunasehemu nyingine nimemzungumzia personally zaidi ya kero niliyoileta
 
Huyu mwanadada/mwanamama ndo anayeongoza kipindi cha asubuhi cha Power breakfast,lakini amekuwa na tabia ya kuwakaripia kina masoud kipanya na ciza.

Kuna kipindi wakati Ciza ndo ameingia kwenye PB,alikuwa anamkatisha katisha wakati jamaa alikuwa anaongea,tena vitu vinavyomake sense,,mara amtishie atamzimia Mic mara vile,yaani vurugu tupu..

Sasa jana kazira kipindi kizima kisa Masoud kipanya alimwambia akae kimya,yeye aongee..na hii ndo tabia yake kukaripia wenzake,lakini yeye kidogo tu anazira..

Huyu mwanamama inabidi ajirekebisha..anakera sana
Naona mumkome demu wangu mtarajiwa. Wivu tu na hamna jipya
 
Hapa ndipo ilipofikia JF....

Sio tena home of great thinkers

Bali ni kijiwe cha wambea kusutana na kuchafuana
People are hiding behind their false identity to write nonsensical and denigrating comments about others people without any evidence or sense of respect for fellow human beings. Sadistic mindset!
 
sidhani kama ni serious! ni utani tu..we love ya Babra
 
Huyu mwanadada/mwanamama ndo anayeongoza kipindi cha asubuhi cha Power breakfast,lakini amekuwa na tabia ya kuwakaripia kina masoud kipanya na ciza.

Kuna kipindi wakati Ciza ndo ameingia kwenye PB,alikuwa anamkatisha katisha wakati jamaa alikuwa anaongea,tena vitu vinavyomake sense,,mara amtishie atamzimia Mic mara vile,yaani vurugu tupu..

Sasa jana kazira kipindi kizima kisa Masoud kipanya alimwambia akae kimya,yeye aongee..na hii ndo tabia yake kukaripia wenzake,lakini yeye kidogo tu anazira..

Huyu mwanamama inabidi ajirekebisha..anakera sana
Ha ha haa ww utakuwa ni Masood Panya umeamua kutumia njia mbadala ya kufikisha ujumbe .....janja janja kweli ww njemba
 
Back
Top Bottom