Tonny Mdaki
Senior Member
- Apr 14, 2018
- 136
- 94
Hana mme? mbona anaonekana aged..Wanaume jitoleeni mumuoe, ataacha
Hana mme? mbona anaonekana aged..Wanaume jitoleeni mumuoe, ataacha
Chini kule bado fresh...km kibinti kigoriHana mme? mbona anaonekana aged..
Hahahahaha! usiseme hivo, atakununia.mi mwenyewe linanikera sana lile li mwanamke
alafu linapenda sifa sjui lipoje.
Single mama..Mbona wadau huko nyuma wanasema yupo single ila hapo ana Pete kabisa?
Hana mme? mbona anaonekana aged..
Kituko gani mkuu? She's beautiful and I think smart too. Hayo mengine ni kumchafua dada wa watu tu. Kwani ni kitu gani mnaangalia kufanya judgement kuwa fulani ni mzuri wa sura na umbo?Duuh aisee mbona sauti yake na yy alivyo haviendani...
hiki ni kituko!!
atakuwa anamimba labdaHuyu mwanadada/mwanamama ndo anayeongoza kipindi cha asubuhi cha Power breakfast,lakini amekuwa na tabia ya kuwakaripia kina masoud kipanya na ciza.
Kuna kipindi wakati Ciza ndo ameingia kwenye PB,alikuwa anamkatisha katisha wakati jamaa alikuwa anaongea,tena vitu vinavyomake sense,,mara amtishie atamzimia Mic mara vile,yaani vurugu tupu..
Sasa jana kazira kipindi kizima kisa Masoud kipanya alimwambia akae kimya,yeye aongee..na hii ndo tabia yake kukaripia wenzake,lakini yeye kidogo tu anazira..
Huyu mwanamama inabidi ajirekebisha..anakera sana
itakuwa nyege etiWanaume jitoleeni mumuoe, ataacha
Halafu linavyojifanya linajua kizungu basi. Kizungu chenyewe cha kuunga unga. Yaani ni lilimbukeni balaa.
Naelewa mkuu..ila kuna ile unaona kabisa kamind..mfano jana kipindi kizima alikuwa anakaa kimya..sasa CNN wao wanafanya hivyo??
Kuna utani wa kawaida,that is okey..ila kama hizi ni drama basi ni too much
maana kama ndo huyu mbona lizee hili limeshakongoloka.. ila inavoongea kwenye kipindi duh! linonekana libabe flani hiviii.. asavali ya DIVA japo nae pepe sana
Duuh aisee mbona sauti yake na yy alivyo haviendani...
hiki ni kituko!!
Samahani nilikuwa nimelewa wakati na komenti....Kituko gani mkuu? She's beautiful and I think smart too. Hayo mengine ni kumchafua dada wa watu tu. Kwani ni kitu gani mnaangalia kufanya judgement kuwa fulani ni mzuri wa sura na umbo?
Nadhani watu wachangie hoja ya yeye kuzira, ila sio kuongelea uzuri/ukituko wake. She's a very pretty lady.
Nimeomba msamaha hapo juuKituko Una Mana gani mwanadamu Mwenzako. Humu kuna Lugha unaona kabisa age ya balehe hii. Mwanamume hawezi mwita mwanamke asiyemjua kituko.
Huyu mwanadada/mwanamama ndo anayeongoza kipindi cha asubuhi cha Power breakfast,lakini amekuwa na tabia ya kuwakaripia kina masoud kipanya na ciza.
Kuna kipindi wakati Ciza ndo ameingia kwenye PB,alikuwa anamkatisha katisha wakati jamaa alikuwa anaongea,tena vitu vinavyomake sense,,mara amtishie atamzimia Mic mara vile,yaani vurugu tupu..
Sasa jana kazira kipindi kizima kisa Masoud kipanya alimwambia akae kimya,yeye aongee..na hii ndo tabia yake kukaripia wenzake,lakini yeye kidogo tu anazira..
Huyu mwanamama inabidi ajirekebisha..anakera sana
Majibu hayo!!hata mm hua ni mdau wa pb sioni tatizo. ..kama vipi anza kubadilika maisha sio serious kama unavyoona hua wanataniana tu!!Barbra Hassan yuko vizuri sana anajua anachofanya,
mengine ni porojo za hapa na pale!!!!!!!
Wewe nani kuniambia hivyo?Majungu mnapiga. Kama hujatumwa na akina kipanya basi Mjue mnawashwa na pilipili masiyoila. We kingereza chako Embu tamka hapa.