chief, nadhani you're missing the whole point.Huyu mwanadada/mwanamama ndo anayeongoza kipindi cha asubuhi cha Power breakfast,lakini amekuwa na tabia ya kuwakaripia kina masoud kipanya na ciza.
Kuna kipindi wakati Ciza ndo ameingia kwenye PB,alikuwa anamkatisha katisha wakati jamaa alikuwa anaongea,tena vitu vinavyomake sense,,mara amtishie atamzimia Mic mara vile,yaani vurugu tupu..
Sasa jana kazira kipindi kizima kisa Masoud kipanya alimwambia akae kimya,yeye aongee..na hii ndo tabia yake kukaripia wenzake,lakini yeye kidogo tu anazira..
Huyu mwanamama inabidi ajirekebisha..anakera sana
Kweli...ni manjonjo tuNampenda sana huyu dada.
Nadhani ni drama tu ambazo watu wanakuwa nazo.
Kukiwa na watu wawili watatu drama lazima ziwepo
Naelewa mkuu..ila kuna ile unaona kabisa kamind..mfano jana kipindi kizima alikuwa anakaa kimya..sasa CNN wao wanafanya hivyo??chief, nadhani you're missing the whole point.
kwenye radio & tv aina hizi za debates ni muhimu ili kunogesha kipindi. check CNN, etc.
vinginevyo vipindi vinaweza kuwa extremely boring!
Hakika...chief, nadhani you're missing the whole point.
kwenye radio & tv aina hizi za debates ni muhimu ili kunogesha kipindi. check CNN, etc.
vinginevyo vipindi vinaweza kuwa extremely boring!
Duh!! Bado mkuuHajafika menopouse kweli??
Bosi wa kipindi ni nani? Au wote ni makambale?Akiwepo ciza,pj na kipanya mambo yanaenda fresh,ila yeye akiwepo,kila kitu anajifanya anakijua,na ubabe wa kuwazimia mic wenzake..
Wanaume wenye roho ngumu wapo.Naomba nisiongeze neno tafadhali...View attachment 812983
Kama ndio huyu, ebu tutake radhi mkuu....
View attachment 812982
Na Ruge ni nani?Bosi ni yeye inavyosemekana..
We umeolewa?Wanaume jitoleeni mumuoe, ataacha
ila anasauti nzuri sanaNaomba nisiongeze neno tafadhali...View attachment 812983
Huyu mwanadada/mwanamama ndo anayeongoza kipindi cha asubuhi cha Power breakfast,lakini amekuwa na tabia ya kuwakaripia kina masoud kipanya na ciza.
Kuna kipindi wakati Ciza ndo ameingia kwenye PB,alikuwa anamkatisha katisha wakati jamaa alikuwa anaongea,tena vitu vinavyomake sense,,mara amtishie atamzimia Mic mara vile,yaani vurugu tupu..
Sasa jana kazira kipindi kizima kisa Masoud kipanya alimwambia akae kimya,yeye aongee..na hii ndo tabia yake kukaripia wenzake,lakini yeye kidogo tu anazira..
Huyu mwanamama inabidi ajirekebisha..anakera sana