Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Du huyu JK anasubiriwa kutoka wapi?
ndo kwanza anaingia bafuni kuogeshwa
Du huyu JK anasubiriwa kutoka wapi?
mbona simuoni jf moderator au hakualikwa?
mbona kibonde anaonekana ana wasiwasi sana na anaona aibu? anajua tunamwandika huku nini?
Kibonde mbona hana hata note book?
naona kuna watu watanyweshwa pombe leo ilihali wamezoea soda.
jamani mkumbuke wengine hakuna TV hakuna redio tunategemea JF plese tupeni habari hapo!
Kibonde mbona hana hata note book?
Wakati tukimsubiri JK kulitaja baraza lake, sio vibaya mkijua, waandishi waliitwa wawepo pale toka saa 4:00 asubuhi, wengine ili wasichelewe, wakawahi toka saa 3 asubuhi, saa hizi inakwenda saa 6:30!, hii ndio timeliness ya rais wetu!
una maana gani??mbona simuoni jf moderator au hakualikwa?
bongo radio wanarusha hii mambo
JK hajui ku keep time kabisa!! Kweli Rais tunae.....
saa 6 kamili ishapita au ndo yale yale saa za kibongo bongo.
hiyo ni moja ya weakness yake kubwa sana