JK hajui ku keep time kabisa!! Kweli Rais tunae.....
kaingia wapi? mbona hatumuoni kwenye ukumbi
Kesho wanachama wa CCM wataandamana nchi nzima kumpongeza JK kwa baraza zuri la Mawaziri
JK hajui ku keep time kabisa!! Kweli Rais tunae.....
Kesho wanachama wa CCM wataandamana nchi nzima kumpongeza JK kwa baraza zuri la Mawaziri
Asante Baba-Enock, huwezi amini jinsi ninavyoipenda hii kazi ya uandishi, ni njaa tuu ndio imenikimbiza, na kwa vile naelekea kuwa fiti, nitarudi kuifanya kwa mapenzi tuu, bila kutegemea hata senti moja kwenye fani hii.
Kaingia JF naye kufuatilia