Mjadala wa wabunge Dodoma ni mkali na hakuna jinsi Rais atafanya haya
1, kuvunja Baraza la mawaziri au
2: kufanya mabadiliko ya baraza wizara ya FEDHA kutokana na majibu ya kiburi ya waziri wa fedha kwa wabunge, WIZARA UCHUKUZI kashfa ya SGR na RIBA wakandarasi Tanroad
1, kuvunja Baraza la mawaziri au
2: kufanya mabadiliko ya baraza wizara ya FEDHA kutokana na majibu ya kiburi ya waziri wa fedha kwa wabunge, WIZARA UCHUKUZI kashfa ya SGR na RIBA wakandarasi Tanroad