Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,545
- 121,429
Wanabodi,
Hatimaye Baraza jipya la Mawaziri ndio lianza kutangazwa sasa live kupitia TBC!
Endelea kufuatilia...
UPDATES:
- Wizara ya maji imeunganishwa na Kilimo - Itakuwa Wizara ya Kilimo na umwagiliaji!
- Kazi ajira na vijana - kitengo cha vijana kimehamishiwa michezo na utamaduni
- Uwezeshaji wa wananchi (Baraza la uwezeshaji) - Ilikuwa wizara ya fedha, imebidi kuipunguzia Hazina mzigo huu na kulielekeza Ofisi ya Waziri Mkuu
- Waziri wa TAMISEMI atakuwa na manaibu wawili
- Wizara ya Miundo Mbinu imepunguzwa, imegawanyika kuwa na Wizara ya Ujenzi (barabara na viwanja vya ndege) & Wizara ya Uchukuzi - Reli, bandari na usafiri wa majini
- Magufuli atachukua wizara ya Ujenzi na msaidizi wake ni Mwakyembe
- Sitta atakuwa waziri wa Wizara ya ushirikiano wa Afrika Mashariki
- Membe ataendelea kuwa waziri wa mambo ya nchi za nje
- Ngeleja ataendelea kubaki wizara ya Nishati na Madini
- Wizara ya Mambo ya Ndani atakuwepo Nahodha akishirikiana na Kagasheki
- Anna Tibaijuka atakuwa waziri wa Wizara ya Ardhi na Makazi
- Hakuna jina la Januari Makamba wala Lowassa kama wengi walivyokuwa wakishuku



Last edited by a moderator: