masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,621
- 14,577
- Thread starter
- #81
Mkuu any seasoned proffessional knows that buck passing isnt proffessional.wakuu OLESAIDIMU RRONDO masopakyindi tpaul pitieni hapa ..mkuu kaweka maelezo ambayo yanashabihiana sana na maelelzo nilotaka kuyatoa
Kwa barabara tunayoisema sioni kitu complicated pale.
Mbona kuna barabara ya shekilango, barabara ya Sayansi Kitonyama, zote ziko sehemu hizo hizo.
Tukubsliane kuwa kama alivyo comment mtaalam mmoja hspo nyuma ,layer ya lami imepunjwa na kuwa finyu sana.
How about that.
Last edited by a moderator: