Barabara ya Mabatini, Kijitonyama: Nani kala 10%?

Barabara ya Mabatini, Kijitonyama: Nani kala 10%?

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,625
Reaction score
14,588
attachment.php
Barabara hii inayopita karibu na kituo cha Polisi Kijitonyama, maarufu kama Mabatini, haina hata mwaka imeanza kumeguka vipande vipande.

Nani kala 10% hapo?
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    79.1 KB · Views: 3,553
Contractor ni nani? Tuanzie hapo kwanza!
 
barabara hiyo iko chini ya halmaahauri ya jiji...alafu kumbuka lami iliwekwa kwa sababu ya hyo anayeishi hapo karibu iron lady spika....kweli barabara zote huko ovyo hata ile ya makumbusho kupitiaa kwa akachube ovyoooo.....ila nmegundua wa tz hatupendI kutengeneza kitu kika dumu wao wanataka iaribike wapige hela tena kwa hapo ndo unakuta badala ya kwenda hatua 7 mbele tunarudi nyumaa...viongozi wetu syo wazalendo
 
barabara hiyo iko chini ya halmaahauri ya jiji...alafu kumbuka lami iliwekwa kwa sababu ya hyo anayeishi hapo karibu iron lady spika....kweli barabara zote huko ovyo hata ile ya makumbusho kupitiaa kwa akachube ovyoooo.....ila nmegundua wa tz hatupendI kutengeneza kitu kika dumu wao wanataka iaribike wapige hela tena kwa hapo ndo unakuta badala ya kwenda hatua 7 mbele tunarudi nyumaa...viongozi wetu syo wazalendo
attachment.php


Mkuu hii barabara ni substandard kwa hali ya kutisha.

Aliyejenga analiangusha jina la wakandarasi, na aliyekela 10% vile vile kwa kuikubali baarabara hii.
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    89.5 KB · Views: 2,334
Hizi barabara wanaweka kifusi na kupaka lami juu twende kazi...hamna kitu hapo!
 
Ni hatari kabisa!
Mwenda njoo hapa utoe ufafanuzi haraka watu wamechoka na wizi wa mchana
 
Barabara hii inayopita karibu na kituo cha Polisi Kijitonyama, maarufu kama Mabatini, haina hata mwaka imeanza kumeguka vipande vipande.

Nani kala 10% hapo?

Huyu labda lkala 20% maana ni kama hakuna kilichofanywa katika ujenzi wa barabara hiyo!
 
attachment.php
Barabara hii inayopita karibu na kituo cha Polisi Kijitonyama, maarufu kama Mabatini, haina hata mwaka imeanza kumeguka vipande vipande.

Nani kala 10% hapo?

Watu wachache sana wana haribu 2015 hawapati kura
 
Kati ya barabara mbovu niliyopata kuishuhudia toka hatua za mwanzo mpaka kukamilika kwake ni hii barabara.

Ilijengwa wakati wa masika kali, drainage system hakuna,..

Yaani ni shidaa,..
 
Heri sasa hivi ina walau lami.

Zamani yalikuwepo makorongo yenye mavumbi na tope mvua zikinyesha.

Nilishawahi kunasa na gari yangu hapo ikabidi niwape masela buku 10 kuisukuma.
 
Kati ya barabara mbovu niliyopata kuishuhudia toka hatua za mwanzo mpaka kukamilika kwake ni hii barabara.

Ilijengwa wakati wa masika kali, drainage system hakuna,..

Yaani ni shidaa,..
Sijui wasimamizi wa kazi hiyo walikuwa wapi mpaka kazi ikaharibika hivi!
 
Heri sasa hivi ina walau lami.

Zamani yalikuwepo makorongo yenye mavumbi na tope mvua zikinyesha.

Nilishawahi kunasa na gari yangu hapo ikabidi niwape masela buku 10 kuisukuma.

Pole sana ustaadh..wakati iko na mabonde na maji na matope mengi, niliwahi kupita hio njia, nikakuta masela wako pembeni ya barabara wakitega mingo...nikawauliza!! Oya wapi njia? Jamaa akanionyesha pita kule pembeni...

Nikasanuka baada ya kuona wote wamekunja suruali zao na mashati begani...halafu maji yametuliaaaa. Nikaamua kupita katikati... jamaa wakabaki wanacheka tu mimi nduki!!
 
Wakuu barabara nyingi zinazojengwa hapa mjini ni balaa tupu hata miezi sita wakati mwingine hazifiki.Nina mfano wa barabara hizi;
1.Barabara ya kutoka hongera bar kwenda Sayansi pale Kijitonyama,sijui hata kama miezi mitatu ilifika.
2.Barabara ya kutoka Temeke kwenda Buza Tanesco.
3.Barabara ya kutoka Buza kwenda Jet.
 
nchi hii ni wizi mtupu. hizi barabara zinatia aibu kuitwa mpya
 
Hahaaaa nenda ya kule tabata st marys ndo utashangaa
 
  • Thanks
Reactions: RR
Barabara hii inayopita karibu na kituo cha Polisi Kijitonyama, maarufu kama Mabatini, haina hata mwaka imeanza kumeguka vipande vipande.
Nani kala 10% hapo?

Sasa hao ma contractors wa kizalendo wasipopewa hizo contracts wanavyokuja juu na kulalamika bana?!

Wakati ndio walitakiwa wajipambe, TZ balaa....
 
Hii ilikuwa ni dili tupu....alafu eti kwa kazi nzuri mkandarasi akaongezewa kile kipande cha Hongera Bar hadi jingo la science kupita Tatedo/Lukagingira.....kaishia kuweka changarawe na vumbi la lami kasepa....inaniuma hii barabara inapita nyumbani kwangu kabisa
 
Wakandarasi lazima walaumiwe kwa sababu wanakubali tenda kwa bei ya chini ukilinganisha na muainisho (specifications). Kazi ya milioni mia tano anachukua kwa milioni mia tatu hamsini. Kwa hiyo huyu mkandarasi hawezi kufanya kazi hata afanye nini na bado waliompakazi wanangojea mshiko. Kwa hiyo analipa anawahisha mshikpo anakabidhi kazi! Inashangaza mhandisi msimamizi anatetea kuwa kina cha maji kiko juu! Kwanza kwa kujua hilo ndio angepashwa atoe design inayostahili kwa sehemu kama hizo.
 
Back
Top Bottom