masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,625
- 14,591
- Thread starter
- #121
Mkuu , as much as I concur with your position, laki kwa vile umetoka nchi ya wachafu nawe ni mchafu tu.I Partially concur with what you have written.
I am what they call type A personality, highly competitive,rightious and would never take bullshit from anyone, i always call a spade a spade,not otherwise. unfortunately these traits made me incompatible with what is going on in my country, hence my decades exodus from the country i love dearly.
Uliyoyasema kuhusu upuuzi wa TZ ni vitu vya ukweli na vinavyoendelea kila siku, na vinawafanya wasafi na wachafu kufanana,hata kama wewe usipokuwa mchafu utachafuliwa by association.Huwezi kuwa kwenye MUD PIT ukajiita msafi, sidhani kama kuna anayeokota chakula jalalani akasema hiki kisafi kwa kuwa hakijachafuka na jalala bado,natumai unanielewa.
Kujiepusha kwako na uchafu wa jalalani hakukusaidii as long as uko kwenye jalala.njia pekee ya kuwa msafi ni kutoka nje ya jalala na kulisafisha au kulisafisha ukiwa humo ndani.
Sehemu ya pili ya comment yako umeelezea vizuri kwa nini walalmikaji na walalamikiwa kuwa wote ni wachafu. Charles de Gaulle once said " politics is too serious a matter to be left to the politicians "
Akili inasema lazima tujisafishe, tusingojee mtu mwingine toka nje atusafishe, na ndio maana ya whistle blowing ya mada kama hizi.