mamananihii umgeni hujui yatendekayo Mu-Yuda.Kabiashara gani hako jamani?
Da ni pigo kwetu wateja.
Waatoa chakula kizuri sana pamoja na huduma .
Wao pamoja na Calabash, Hisaje wako juu jijini Dar.
Hata hivyo kuna kaharufu ka ile biashara ingine kubwa zaidi hapo.
Aliyekwambia Hotelini na migahawa wanaingia mabachela tu ni nani?Oeni muwe munakula nyumbani.
Hapo madalali wote wa Dsm, matapeli na Marioo wote ndiyo kijiwe chao. Hapo panachomwa kitimoto grade ya juu kabisa...Haswaaaaa
Aliyekwambia Hotelini na migahawa wanaingia mabachela tu ni nani?
Duuuu Sasa Richard Mziray na Cynthia watakula nini ndio ilikuwa kete yake ya mwisho hiyo inayompa ridhiki.
wezi wa magari na mishentown watakoooma cjui kijiqe kitahamia wepi ni sheeeder
Hivi catalunya ipo mwenge.......?loading
inabidi hao maafisa wa tra nao wakichukua rushwa watupe risiti za kielectronic au vipi wakuu
Karibuni sana 7&7ipo karibu na kituo cha ovacado jeshini ni boonge la bar upate kitu roho inataka na utulivu wa hali ya juu chakula ndio usipime hamtajutia
na huko kuna wahudumu waliovaa vimini? :A S embarassed:
Nilikua niko sahihi kuuliza na hili ndilo jibu sahihi,, Patrickn kayaman GEOMATICIAN punguzeni wengeIpo sinza 'A' kata ya sinza karibu na roundabout ya kakobe