The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,989
- 48,312
Its triple 7 sio 7&7 ni bar Dada ya rose garden!
Wanatoa risiti zinazotakiwa na TRA?
Its triple 7 sio 7&7 ni bar Dada ya rose garden!
Nilikua niko sahihi kuuliza na hili ndilo jibu sahihi,, Patrickn kayaman GEOMATICIAN punguzeni wenge
Mhhh unaweza jichanganya ukakuta lijamaa limevaa gwanda lenye nembo ya MP liko mbele yako linauliza "harooooo nikuhudumie nini...?"na huko kuna wahudumu waliovaa vimini? :A S embarassed:
hahahahaha Ndege imepatikana....Sa si ungetuambia tu hadi uanze kututega tena ya nini... punguza wenge Rural Swagga
Mkuu badilisha avatar basi Catalunya umeshapafaham na swaga zitakuwa za town nowNilikua niko sahihi kuuliza na hili ndilo jibu sahihi,, Patrickn kayaman GEOMATICIAN punguzeni wenge
hahahaha.....mbona funenga tu hiyo Avatar jombaa...Swagga huwaga hazibadiliki we jamaa,,,We hujashtukia kwamba unaweza ukamtoa mtu kijijini lakini ukashidwa kutoa kijiji ndani ya mtu?Mkuu badilisha avatar basi Catalunya umeshapafaham na swaga zitakuwa za town now
Khaaa! wanawake wazuri wa Chuo cha Ardhi na Chuo kikuu tutawatoa wapi?
Kabiashara gani hako jamani?
Duuuu Sasa Richard Mziray na Cynthia watakula nini ndio ilikuwa kete yake ya mwisho hiyo inayompa ridhiki.
Mhhh unaweza jichanganya ukakuta lijamaa limevaa gwanda lenye nembo ya MP liko mbele yako linauliza "harooooo nikuhudumie nini...?"
Unadhani wanajeshi wamefundishwa kupiga kichwani tu, jaribu at your own risk...hizo bar kwa kichwa panzi kama mimi lazma nije nikiwa nimevaa helmet incase nikichezea kichapo..:lol:
Umeshawahi kwenda IFM ukaona visu vya uhakika?
Hapo kwenye herufi "g" ulimaanisha "d" nini?Mhudumu naomba tafadhali niitie mtu wa Jikoni, au mwambie aniletee makenge ya mbuzi
na kongolo bomba.