Bar ya Catalunya yafungwa na TRA muda huu

Bar ya Catalunya yafungwa na TRA muda huu

Wa tz mnapenda pombe saa hizi uko baa?
Hata serikali inawaheshimu maana ndiyo wanachangia Bajeti ya Nchi kwa kiasi kikubwa...

Serikali yenyewe haibughudhi wanywaji ndiyo maana ikaruhusu kila bar iwe na parking ya magari, bodaboda nk ingawa serikali hiyo hiyo inasema kulewa na kuendesha gari ni kosa la jinai.
 
Sijawahi kuelewa chanzo cha umaarufu wa baa ya catalunya. Nakula na kunywa hapo, lakini hakuna cha pekee. Au ni wale wezi wa magari na wateja wao pale jirani?
 
Sijawahi kuelewa chanzo cha umaarufu wa baa ya catalunya. Nakula na kunywa hapo, lakini hakuna cha pekee. Au ni wale wezi wa magari na wateja wao pale jirani?

We hujaona wengine wameona..kumbuka duniani ..beuty is in the eyes of the beholder..kizuri kwako.kibaya kwa mwingine...
 
Maafisa wa TRA muda huu wanaifunga bar ya catalunya iliyoko mwenge jijini DSM kwakutotoa risiti za mamlaka hiyo ( kieletroniki) licha ya Kua Na mashine hizo na wamekua wakitoa risiti za kuandika kwa mkono licha ya maonyo kadhaa

Meneja wa bar hiyo maarufu jijini aljpoulizwa sababu za kufanya hivyo alisema mashine hizo zimekua zikisumbua katika utendaji kazi jibu ambalo haliwakuridhisha maafisa hao nakupiga kufuli kila kona na wameamriwa kutofanya biashara yoyote mpaka watakapo wasiliana na mamlaka hiyo!

Source Mimi mwenyewe Niko eneo la tukio!

Pashafunguliwa jana jioni..tra washalipwa mkwanza wao..milioni ...... waweza kwenda kula brenda fassie
 
Baa pendwa sana kipindi hiko 2013-2014 nikitoka hapo wikiend naenda kumalizia coco beach usiku.

Ijumaa mangoma ya flash back 80's na jumamosi full happy kwa baba jakaya enzi hizo

Maisha yana kwenda kasi
 
Back
Top Bottom