Balozi Juma Mwapachu atangaza kurejea CCM...

Balozi Juma Mwapachu atangaza kurejea CCM...

Khah!..si rahisi kuamini kuwa Mwapachu anasema hadharani hivi, "NA SASA NIMEAMUA KULIFANYA JAMBO HILI KUBWA ILI MAGUFULI AJUE SASA NIKO NAYE KWASABABU SITAKI SHUGHULI ZANGU NA ZA WASHIRIKA WANGU ZIKWAMISHWE NA SERIKALI"... Ni kuhitimisha kwamba alitoka ccm kwa UCHU WA MADARAKA(apate uwaziri wa mambo ya nje) na anarudi ccm kwa hofu ya kasi ya magufuli KUTUMBUA miradi yake na washirika wake!..
 
Na kaandika huo utumbo uliooza hapo juu?

I had such respect for Mwapachu. I remember as a young buck back in 1999 nilikuwa nalitetea Time magazine at New Africa. He told me "You get the most from The Economist, you don't get the most from Time or Newsweek". Kutoka hapo nikawa naliangalia sana The Economist nikaona tofauti aliyoisema.

Leo hii anaandika kitu kama mtu ambaye hajapata kusoma chochote cha maana.


Siyo swala la kusoma au kutokusoma Its esconomy, Stupid! alisema B. Clinton, hata fisadi Lowasa ni swala la muda tu, kwa kifupi hawa wote ni wezi hivyo wanafikiri wakirudi na kujisalimisha CCM watapona Magufuli ameshaanza kubana pole pole leo mashamba yetu yamerudishwa na kubwa klk yote ni IPTL Magufuli amesema anavunja mkataba sasa huwo mzunguko wa wizi ni mkubwa sana!
 
hajaandika ameongea na waandishi wa habari

Hajaandika wakati hapo kuna statement chini ina jina lake?

Ndiyo maana nikauliza hii statement kaandika yeye au anapakaziwa tu?
 
If at all the statement is authentic...

The kicker is, anasema kaondoka kwa ajili ya mtu halafu karudi kwa sababu ya mtu.

Confirming that his politics revolves around personalities, not ideologies.

Halafu hapo hapo anakwambia CCM ikichagua mtu mbovu atabaki nayo tu.

Totally incoherent.

Halafu hapo hapo ka reveal kwamba alimuunga mkono Lowassa kwa uchu wa madaraka.

How stupid could one get? There ought to be laws against that type of quid pro quo politics.

Nimeipenda hii! Quid pro quo politics.
 
Some may take that lightly, but it is quite possible. What with all the advanced age mental health issues.

The guy ought to know to write better than that even if presenting a totally fraudulent and unpalatable return to CCM.
Hiyo ni hotuba aliyoitoa na audio clip zipo ni kweli hayo yaloripotiwa!!!
 
Cdm ni taasisi na ilianza bila Lowassa hy akiondoka cdm itasonga mbele km kawaida wamepota wengi tu na bdo inaimarika.


Mtamkumbuka Slaa na alichokuwa anawaambia mkaishia kumtukana, Lowasa atawatosa tu ni swala la muda!
 
sijui kama anaweza kuwa mwanasiasa mahiri maana ni mwoga, alihama ccm akaingia chama gani vile?
Ili Magufuli afanye kazi vizuri lazima apate watu wenye akili watakaokuwa wanampa pressure ya kutenda la sivyo atalala kama alivyofanya mtangulizi wake.
kwa sasa kwa kweli nami nampa big up anajitahidi kufanya vyema kwa ajili ya wananchi wanyonge na ndiyo malengo ya serikali ambazo si corrupt, kutetea na kufanyakazi kwa ajili ya wananchi wa kawaida.
 
Lowasa bado ni mwanaume hababaiki na mtu
Nitakusapoti bado Lowasa
Lowassa ataondoka mwisho kabisa baada ya chadema kukosa mvuto....hao wanatoka ili kutowa taswira mbaya...ila tujuwe tu lowasa ni mrema wa pili upinzani.
 
Nachompongeza ni kaongea ukweli na ndio wengi waliohama walikuwa kama yeye. Bravo sana kwake kwa kusema ukweli ila ccm kama wanataka wasonge mbele kama chama lazima wawakate wale wote wanaokisaliti, huyu mzee ni mmoja wao.
Nimesikitishwa sana na sababu zake za kuondoka ccm.
 
Au...inawezekana kweli karudi lakini kuna wajanja wajanja wakaandika kuhusu hiyo habari na kuiongezea binzari, paprika, nyanya chungu, na mengineyo.

Kama ni hivyo basi inanikumbusha ile habari potofu ya Donald Trump na Waafrika.

Donald Trump kweli ni mtu mwenye tabia ya kutoa kauli tata.

Lakini, si kweli kwamba keshawahi kuwasema vibaya Waafrika na/ au viongozi wake.

Huo ni uzushi. Lakini kwa vile tayari mtu mwenyewe ana historia ya kutoa kauli tata, watu wakisikia kawasema vibaya Waafrika, watakuwa wako inclined kuamini kuwa ni kweli kasema kwa sababu ya preconceived notions walizonazo dhidi yake.
 
Huyo Mzee kama alivyosema hapo juu anataka kulinda maslahi yake
 
Utawala wa mabavu umemrudisha. Yawezekana ni jipu, anajitetea mapema kabla ajaingizwa chumba cha kukamuliwa
 
Back
Top Bottom