Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,155
- 137,168
Haha mkuu nimepigwa na butwaa!!!
Huyu ndiye alikuwa think tank ya EAC as secretary general!!!!
Dah nchi hii ina mambo!!!!
Labda ni uzushi....ngoja tusubiri tuone.
Manake siku hizi kuna kila aina ya uzushi kwenye hii mitandao!