Sitawashangaa kwa propaganda zenu hizi. kwani mlianza wakati wa kampeni kuwa LOWASA endapo akishindwa kupata uraisi atarudi CCM kwani kule CDM amefuata cheo na siyo uanachama wa CDM.
Mkapatwa na aibu kubwa sana baada ya kuona kuwa mh. Lowasa bado yupo ngangari ndani ya CDM pamoja na UKAWA bado inadunda tu.
Mlipatwa na AIBU KUBWA SANA majuzi mlipomuona Mh. Lowasa akiwa katika mkutano mkuu wa CHADEMA pale jijini MWANZA.
Mlipata aibu kubwa majuzi mliposhuhudia mama Regina Lowasa akiwa na BAWACHA pale hospitali ya Morogoro wakifanya usafi pamoja na kutoa misaada katika kuadhimisha siku ya wanawake Duniani.
NI AIBU YENU MILELE.