Hii ndio wahenga waliita 'kuzeeka vibaya'! Sasa anafikiri katika umri huu arejee CCm au abaki huko alikokuwa amekwenda, kweli kuna mtu atampa hata u-DC? Hawa ndio the so called 'wasomi wa Tanzania' waliotufikisha hapa tulipo. Hahwezi kufikiri zaidi ya urefu wa pua zao!kwa hili la mwapachu ni full aibu. ningelikuwa mimi ndo katibu mkuu wa ccm nisingeruhusu kupokea wachumia tumbo kama hawa kamwe.....
Hahahaha niliona hiyo 'statement' mkuu,njaa mbaya sanaAnarudi kwa sababu anaogopa shughuli zake na za washirika wake zisianguke...... Lol...
Lowassa ni fisadi wa nini?Hebu acheni kudhalilisha watu kwa sababu ya mihemuko yenuSasa kubwa kuliko linakuja nalo ni la fisadi Lowasa, subiri uone sasa hivi ranchi yetu Handeni iliyoporwa na fisadi Lowasa inarudishwa mikononi mwa Wananchi na hapo ndiyo mtajua kwamba Wanasiasa wa kibongo wote wezi tu!
Chadema ya mbowe ni kama demu...unamtenda baadae unarudi na hela anakusamehe,Lowasa ni kansa atabaki saana tu hadi maji yapowe kama mrema.
Hii ishu imewadhalilisha sana CCM kuliko hata UKAWA.Lowassa aliwadanganya sana hawa jamaa zake bado Kingunge.
Mwapachu alidhani Lowassa atakuwa rais.
Teh teh teh!
.... "Na sasa nimeamua kulifanya jambo kubwa ili Magufuli ajue sasa niko naye kwasababu sitaki shughuli zangu na za washirika wangu zikwamishwe na Serikali kwasababu tu huko nyuma niliamua kumsaidia swahiba wangu".